Jamhuri ya Uturuki | Türkiye Cumhuriyeti

Jamhuri ya Uturuki | Türkiye Cumhuriyeti

IMG-20201017-WA0001.jpg


Aisee Uturuki Cumhuriyeti ni moto 😎
 
Basilica Cisterns eneo linalopatikana karibu na Hagia Sofia zaidi Sarayburnu likiwa na historia toka karne za mwanzo kabisa. Cisterns enzi zake ilikuwa sehemu ya sanaa, maonesho, matangazo na hafla fulani chini ya ufalme.

Ukiitazama Cisterns utaona dupla ya Hagia Sofia, ndiyo! Nyenzo na malighafi zilizojenga Hagia ndiyo zilizotumika vyema kusimamisha Basilica Cisterns.

Eneo hili kwa miaka ya hivi karibu limekuwa likitiwa maji kuakisi uhalisia kwa watalii wanaongia kushuhudia namna Ottoman Empire ya wakati ule na Uturuki sasa ilivyomaliza maisha toka karne ya 16.
 
Huku ndio kwa kina ertugrul bey, komando tugrut, mzee suleyman shah, suleiman na kina kamanda gevdet.
 
Namaanisha Uturuki sasa hivi imekuwa na tabia ambazo tume zoea kuziona kwa mataifa ya kibeberu.
Uturuki ukiiangalia kwa juujuu utaliona ni taifa la kawaida,lakini ukijaribu kuichimba kwa undani ni tofauti kabisa.
Uturuki siku hizi imekuwa mjunjaji mzuri wa sheria za kimataifa na mbabe kupita kiasi lakini hakuna anaye chukua hatua dhidi yake.
Uturuki inayakalia kwa nguvu maeneo ya Syria na Iraq lakini hakuna anaye thubutu kumchulia hatua.
Anaikalia kwa nguvu ardhi ya sypulas kusini na hakuna anaye dhubutu kumgusa.
Juzi juzi kaenda bahari ya Mediterranean kwenye maji yanayo milikiwa na Ugiriki kaanza kuchimba mafuta kibabe na wakati ni mwanachama mwenzake wa NATO.
Umoja wa mataifa umeweka vikwazo vya kuingiza silaa nchini Libya ,lakini uturuki kila kukicha meli za uturuki zina pereka silaha nchini Libya na hakuna anaye thubutu kuzigusa.
Hii kwakweli imekuwa ikinifikilisha sana.
Hivi hapa si ndo ardhi ya mfalme Suleyman??
 
Mkuu isarjorsergio niliambiwa hapo uturuki Kuna nyumba ambamo bikira Maria mama yake Jesus, alkua anaishi na pia hii ndo ilikuwa falme ya Suleyman? Naomba KUJUA tafadhali
 
Mkuu isarjorsergio niliambiwa hapo uturuki Kuna nyumba ambamo bikira Maria mama yake Jesus, alkua anaishi na pia hii ndo ilikuwa falme ya Suleyman? Naomba KUJUA tafadhali
Ndiyo! Hii ndio ilikuwa himaya ya Ottoman Empire nyumbani kwake Süleyman. Soma kwa utulivu nimeeleza vyema mwanzo kabisa.
 
Back
Top Bottom