Jamhuri ya Uturuki | Türkiye Cumhuriyeti

Jamhuri ya Uturuki | Türkiye Cumhuriyeti

Ngoja niweke kituo hapa niwasome kujua mawili matatu kuwahusu maana sikuhizi najiona kabisa navutiwa mno na Turkish Movies, very addicted kiukweli..!!
Daa kama mm hawa jamaa wana cheza kwa uhalisia kabisa.
 
Uturuki anafanya haya kulinda haki ya mipaka yake, hasa ardhi, ajira, usalama na fursa kwa kuhitaji kudhibiti wakimbizi toka Syria, Iraq na Libya. Uturuki ndio taifa pekee duniani lenye idadi kubwa ya wakimbizi, wakimbizi wanaoruhusiwa kuishi na jamii na sio katika kambi, wakimbizi wanaopatiwa fursa za ajira, afya na elimu sawa na raia.

Rasilimali ya taifa inahusika kufaidisha watu zaidi wasiokuwa wahusika, huku wenye chanzo hawapatwi na dhahma hii.

Uturuki kufanya haya pasi ya kuguswa ni kuwa wenye uwezo wa kumgusa wanaofahamu nini anafanya, ubabe wa baadhi ya mataifa katika Syria, Iraq na Libya ndio chanzo cha Uturuki kuingiliwa na wakimbizi hivyo Uturuki anapiga na hao wahusika indirectly.

Dunia ya sasa haitaji upole wala ukarimu uliozidi maana utaendeshwa tu, huku wengine (Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ubelgiji, Ujerumani, Japan, Uchina na Uhindini) wakionekana ndio wenye haki ya kuvamia pasi ya sababu za msingi maeneo na mataifa ya watu.

Mkuu acha kupotosha uturuki haijazivamia Syria,Iraq na libya kwa sababu ya wakimbizi,bali imeivamia kwa ajili ya kuwa dhibiti wakurdi.
Haya ngoja nikubaliane na hoja yako ya kwamba ameivamia Iraq na Syria kwa ajili ya wakimbizi.
Je na sypulas anadhibiti wakimbizi gani ? Uturuki iliivamia sypulas na kuikalia kwa nguvu sypulas kusini na wakaanzisha serikali nyingine kibabe ndani ya nchi ya watu, yaani mfano uganda aivamie Tz alafu iyachukue kwa nguvu baadhi ya maeneo ya Tz alafu ahanzishe serikali nyingine kwenye maeneo iliyo yateka.
Je Libya ana fanya nn?
Siku zote baraza la usalama likisha pitisha azimio ni lazima ulifuate hata kama linaenda kinyume na masilai yako lakini uturuki haifanyi hivyo nchini Libya.
Huliza kilicho mkuta Ufaransa alipo jitia kimbelembele kuzizua meli za Uturuki zilizo kuwa zinapereka silaha nchini Libya.
Na vip kuhusu uturuki kwenda kwenye miliki ya maji ya Ugiriki na kuanza kuchimba mafuta kibabe huku ikiitisha Ugiriki ya kwamba ukijaribu kuleta zakuleta itaitia adabu?, yaani kenya ije Tz kwenye mgodi wa buzwagi ianze kuchiba madini kibabe ujinga gani huo?
Mm ni muislam na Uturuki ni waislam wenzangu lakini ni razima ukweli usemwe ya kwamba Uturuki ina tabia za kibeberu .Na ndio maana Uturuki linapo kuja suala la Palestina huwa ana kigugumizi kingi mno kwa sababu anajua kabisa akijaribu uiandama Israel atasutwa.
 
Mkuu acha kupotosha uturuki haijazivamia Syria,Iraq na libya kwa sababu ya wakimbizi,bali imeivamia kwa ajili ya kuwa dhibiti wakurdi.
Haya ngoja nikubaliane na hoja yako ya kwamba ameivamia Iraq na Syria kwa ajili ya wakimbizi.
Je na sypulas anadhibiti wakimbizi gani ? Uturuki iliivamia sypulas na kuikalia kwa nguvu sypulas kusini na wakaanzisha serikali nyingine kibabe ndani ya nchi ya watu, yaani mfano uganda aivamie Tz alafu iyachukue kwa nguvu baadhi ya maeneo ya Tz alafu ahanzishe serikali nyingine kwenye maeneo iliyo yateka.
Je Libya ana fanya nn?
Siku zote baraza la usalama likisha pitisha azimio ni lazima ulifuate hata kama linaenda kinyume na masilai yako lakini uturuki haifanyi hivyo nchini Libya.
Huliza kilicho mkuta Ufaransa alipo jitia kimbelembele kuzizua meli za Uturuki zilizo kuwa zinapereka silaha nchini Libya.
Na vip kuhusu uturuki kwenda kwenye miliki ya maji ya Ugiriki na kuanza kuchimba mafuta kibabe huku ikiitisha Ugiriki ya kwamba ukijaribu kuleta zakuleta itaitia adabu?, yaani kenya ije Tz kwenye mgodi wa buzwagi ianze kuchiba madini kibabe ujinga gani huo?
Mm ni muislam na Uturuki ni waislam wenzangu lakini ni razima ukweli usemwe ya kwamba Uturuki ina tabia za kibeberu .Na ndio maana Uturuki linapo kuja suala la Palestina huwa ana kigugumizi kingi mno kwa sababu anajua kabisa akijaribu uiandama Israel atasutwa.
Sehemu ya Cyrus iliyovamiwa na Waturuki Ni sehemu wakaazi wake wengi ni Waturuki ambao walikuwa wananyanyaswa na Waturuki

Kisiwa Cha Cyprus kimegawanyika sehemu mbili inayokaliwa na Wagiriki na inayokaliwa na Waturuki..
 
Mkuu acha kupotosha uturuki haijazivamia Syria,Iraq na libya kwa sababu ya wakimbizi,bali imeivamia kwa ajili ya kuwa dhibiti wakurdi.
Haya ngoja nikubaliane na hoja yako ya kwamba ameivamia Iraq na Syria kwa ajili ya wakimbizi.
Je na sypulas anadhibiti wakimbizi gani ? Uturuki iliivamia sypulas na kuikalia kwa nguvu sypulas kusini na wakaanzisha serikali nyingine kibabe ndani ya nchi ya watu, yaani mfano uganda aivamie Tz alafu iyachukue kwa nguvu baadhi ya maeneo ya Tz alafu ahanzishe serikali nyingine kwenye maeneo iliyo yateka.
Je Libya ana fanya nn?
Siku zote baraza la usalama likisha pitisha azimio ni lazima ulifuate hata kama linaenda kinyume na masilai yako lakini uturuki haifanyi hivyo nchini Libya.
Huliza kilicho mkuta Ufaransa alipo jitia kimbelembele kuzizua meli za Uturuki zilizo kuwa zinapereka silaha nchini Libya.
Na vip kuhusu uturuki kwenda kwenye miliki ya maji ya Ugiriki na kuanza kuchimba mafuta kibabe huku ikiitisha Ugiriki ya kwamba ukijaribu kuleta zakuleta itaitia adabu?, yaani kenya ije Tz kwenye mgodi wa buzwagi ianze kuchiba madini kibabe ujinga gani huo?
Mm ni muislam na Uturuki ni waislam wenzangu lakini ni razima ukweli usemwe ya kwamba Uturuki ina tabia za kibeberu .Na ndio maana Uturuki linapo kuja suala la Palestina huwa ana kigugumizi kingi mno kwa sababu anajua kabisa akijaribu uiandama Israel atasutwa.
Sawa sawa,

Uturuki, Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ubelgiji na Uchina wote wanafanya yale yale.
 
Mediterranean_turkey.jpg

Sehemu ya Uturuki katika bahari ya Mediterrania ©FajrGus

Central Anatolia.jpg

Moja ya eneo katika Kanda ya Antolia ya Kati ©FajrGus

[SUB]
Trabzon City.jpg
[/SUB]
[SUB]Jijini Trabzon ©FajrGus[/SUB]
 
Royal_Wings_Hotel.jpg

Royal Wings Antalya Hotel

Barut_Lara_Resort_Spa_Suites.jpg

Naruto Lara Resort & Spa

Hilton_Dalaman_Resort_And_Spa_Ortaca.jpg

Hilton Dalaman Resort & Spa
 
Uturuki isipoangaliwa na Waarabu itakuja kuwasumbua sana. Kihistoria imesumbuana na Wairan wakatoka suluhu na baadae Warusi ila ikashindwa.
Kwa sasa kila nchi ya Kiislamu yenye vurugu utakutana na Mturuki.
Uko sahihi kabisa, Uturuki inajitahidi sana kujipenyeza kwenye Ulimwengu wa waarabu na hili waarabu hawalipendi kabisa.

Ila udhaifu wa waarabu ndio umempa mwanya Uturuki kujitanua huko Syria na Libya, wao ndio walishirikiana nae kuihujumu Serikali ya Assad, sasa hivi ndio wamemgundua siyo rafiki mzuri ila ana ajenda yake ya siri ya kujitanua kwenye ardhi ya waarabu.
 
Feza boys ilikuwa shule nzuri until pale walipoanza kuleta uislam.
 
asante sana mleta mada hakika nimepata kufahamu nisichokijua kuhusu uturuki.
sijajua sisi huku tunakwama wapi kwa kweli hakuna tunachoweza kujivunia mbele za watu.
utruki ni taifa la kiislam nadhani, lakini hatua ilzopiga sio ndogo kwa kweli na ni nadra sana kusikia mchafuko huko.
pia hata ukiangalia kazi zao sio za ubabaishaji.
nadhani ndio wenye feza schools, ona matokeo yake kwa kweli wapo juu mno itoshe kusema.
Kuna machafuko sana ukiacha vita vyao na wakurd
 
Back
Top Bottom