Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
H
Hata sijamaliza kusoma uliposema ni dini ya haki. Shida inaanzia hapa kujiona nyinyi ni mko kwenye haki kuliko wengine. Kama Zanzibar mtu unakula hotelini au mgahawani unashangaa, wafuasi wa dini fulani wamekuvaa
Msipodhibitiwa vikundi vya kigaidi vitakuwa vingi sana kama Msumbiji, Nigeria, Somalia, n.k.
Hapa nchini mlianza kidogo, makanisa yamechomwa moto, padri amemwagia Tindikali n.k Tangu hao magaidi wamewekwa ndani. Ni amani mpaka leo. Sijasikiq kanisa limechomwa moto au kiongozi wa dini ya kikristo amemwagiwa tindikali.
Kiufupi nyie mnamatatizo sana. Dini zote zimeanzishwa na wanadamu na hakuna dini iliyoanzishwa na Mungu.
Wakristo wameenda shule na pia dini yao ina hubiri upendo
Wewe bado mchanga sana, huujui uislamu kiundani, unaongea vitu usivyo na uhakika navyo ama chuki tu zinakusumbua dhidi ya waislamu, muda nilishakusoma.
Uislamu ni amani. , ndio maana nikakuomba ushahidi wa hao masheikh, je! ni wapi wamelipua!!!!!