Jamhuri yakata rufaa dhidi ya Masheikh Uamusho

Jamhuri yakata rufaa dhidi ya Masheikh Uamusho

Najua hamuwezi kujibu, Katika mijadala hii inayo gusa itikadi za kidini ninyi huwa mnaongozwa na chuki dhidi ya waislaam na uislaam. Ndio maana unawahukumu washukiwa wakati Tukio halisi la Kigaidi lilifanyika Arusha na Waziri Emanuel Nchimbi akatangaza kuwa ni tukio la Kigaidi ila kwa sababu aliye husika sio Muislaam mpo kimya.
Unaniuliza habari isiyonihusu Mimi na isiyohusiana na mada iliyopo mezani

Umeleta mada inayohusiana na Masheikh wa UAMSHO Zanzibar halafu unauliza habari ya Gaidi aliyetupia Bomu kanisani Arusha, wapi na wapi?

Anzisha mada yake hiyo, kwasasa jadili mada iliyopo mezani acha kisebusebu
 
Najua hamuwezi kujibu, Katika mijadala hii inayo gusa itikadi za kidini ninyi huwa mnaongozwa na chuki dhidi ya waislaam na uislaam. Ndio maana unawahukumu washukiwa wakati Tukio halisi la Kigaidi lilifanyika Arusha na Waziri Emanuel Nchimbi akatangaza kuwa ni tukio la Kigaidi ila kwa sababu aliye husika sio Muislaam mpo kimya.
Hivi unaelewa kweli? Hii mada inahusu Ugaidi wa Arusha?
 
Ngoja wanyee debe, walijikoroga kuwamwagia watoto wa mabeberu tindikali kule zanzibar. Beberu hachezewi asee
 
Kwenda Mahakama ya Rufani ni hatua nzuri na mwisho wa siku haki yao wanayostahili wataipata.

In an event wanatoka nje, hatutegemei teeena kuona tena vile vitendo vya kifedhuri vya kuchinja watu na kuchoma makanisa vikichipuka upya maana itakuwa coincidence mbaya. Ule ulikuwa ujinga usio na mfano.
 
Sina chuki nao ila nachukia vitendo vyao. Wakiwa wengi tu wanapitisha sharia zao. Ushawahi kuhudhuria kwenye mahubiri ya kiislam ya mijadala? Wameweka mjadala kabisa kuhusu uchambuzi wa Biblia na Quran.

Tatizo lako unatuhumu waislamu magaidi wakati huo huna ushahidi, ukiombwa unajiumauma.

Kuhusu mijadala ya dini baina ya wakristo na waislamu na kuwatoa kwenye ujinga na kuwaingiza kwenye dini ya haki, je! Kuna tatizo? Tena kwa ridhaa yao baada ya kuuona ukweli na hakuna anaewalazimisha kusilimu.

Au baada ya kuona mijadala hiyo ndio sababu ya ya kuwatoa kwenye ujinga, na maelfu ya wanakondoi wakisilimu ndio mkatafuta njia nyingine ya kuwapakazia! Hatari sana,.. niliwahi kusikia mijadala ilipigwa marufuku, nishajua sababu nini.


Refe; akina profesa mazinge, mawlay, kinyogori n.k, katika mijadala yao miaka na miaka wanaifanya hiyo kazu, je! ushawahi kusikia wamelipua sehemu yoyote, au hata tetesi tu!!!! Akili zingine bwana, unabaki unacheka 😃😃
 
H
Tatizo lako unatuhumu waislamu magaidi wakati huo huna ushahidi, ukiombwa unajiumauma.

Kuhusu mijadala ya dini baina ya wakristo na waislamu na kuwatoa kwenye ujinga na kuwaingiza kwenye dini ya haki, je! Kuna tatizo? Tena kwa ridhaa yao baada ya kuuona ukweli na hakuna anaewalazimisha kusilimu.

Au baada ya kuona mijadala hiyo ndio sababu ya ya kuwatoa kwenye ujinga, na maelfu ya wanakondoi wakisilimu ndio mkatafuta njia nyingine ya kuwapakazia! Hatari sana,.. niliwahi kusikia mijadala ilipigwa marufuku, nishajua sababu nini.


Refe; akina profesa mazinge, mawlay, kinyogori n.k, katika mijadala yao miaka na miaka wanaifanya hiyo kazu, je! ushawahi kusikia wamelipua sehemu yoyote, au hata tetesi tu!!!! Akili zingine bwana, unabaki unacheka 😃😃
Hata sijamaliza kusoma uliposema ni dini ya haki. Shida inaanzia hapa kujiona nyinyi ni mko kwenye haki kuliko wengine. Kama Zanzibar mtu unakula hotelini au mgahawani unashangaa, wafuasi wa dini fulani wamekuvaa
Msipodhibitiwa vikundi vya kigaidi vitakuwa vingi sana kama Msumbiji, Nigeria, Somalia, n.k.
Hapa nchini mlianza kidogo, makanisa yamechomwa moto, padri amemwagia Tindikali n.k Tangu hao magaidi wamewekwa ndani. Ni amani mpaka leo. Sijasikiq kanisa limechomwa moto au kiongozi wa dini ya kikristo amemwagiwa tindikali.
Kiufupi nyie mnamatatizo sana. Dini zote zimeanzishwa na wanadamu na hakuna dini iliyoanzishwa na Mungu.
Wakristo wameenda shule na pia dini yao ina hubiri upendo
 
mashekhe gani wanahamasisha vurugu hao siyo mashekhe ndio maana wamechukuliwa hatua na serikali ya raisi KIKWETE
 
Hiyo ni mbinu tu ya kuwatoa!
Mark my words!.
Hawawezi kuwaachia tu kama ng'ombe ni lazima wawazungushe ili wakitoka watoke as final decision of the court and not political influence.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lako unatuhumu waislamu magaidi wakati huo huna ushahidi, ukiombwa unajiumauma.

Kuhusu mijadala ya dini baina ya wakristo na waislamu na kuwatoa kwenye ujinga na kuwaingiza kwenye dini ya haki, je! Kuna tatizo? Tena kwa ridhaa yao baada ya kuuona ukweli na hakuna anaewalazimisha kusilimu.

Au baada ya kuona mijadala hiyo ndio sababu ya ya kuwatoa kwenye ujinga, na maelfu ya wanakondoi wakisilimu ndio mkatafuta njia nyingine ya kuwapakazia! Hatari sana,.. niliwahi kusikia mijadala ilipigwa marufuku, nishajua sababu nini.


Refe; akina profesa mazinge, mawlay, kinyogori n.k, katika mijadala yao miaka na miaka wanaifanya hiyo kazu, je! ushawahi kusikia wamelipua sehemu yoyote, au hata tetesi tu!!!! Akili zingine bwana, unabaki unacheka [emoji2][emoji2]
Uislam?
images%20-%202021-04-18T193154.723.jpg
 
Back
Top Bottom