Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Tumekupa urais wa MIGA haya futa kesi.Mkinipa urais naifuta hii kesi, ina mazingaombwe mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumekupa urais wa MIGA haya futa kesi.Mkinipa urais naifuta hii kesi, ina mazingaombwe mengi
wamekosa nini??? mbona dana-dana haziishi?DU aisee wangewasamehe sasa wamekosa lakini wamejifunza pia
Kwa hio mama Samia anafurahia kuona mashehe wake wanaendelea kusota lupango.Bismillahir Rahmaanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
LEO TAREHE 28.04.2021, SERIKALI IMEKATA RUFAA MAHAKAMA YA RUFAANI DHIDI YA MASHEIKH
Tarehe 23.04.2021, Mahakama Kuu ilitoa hukumu ya ushindi kwa Masheikh wa kesi 14, Kati ya 25, zilizokuwa zinawakabili Masheikh.
Baada ya uamuzi huo shauri lilipangwa liendelea leo kwa kusikilizwa kesi 11, zilizobaki.
Katika hali ya kuonesha nia ya Serikali ya kuendelea na msimamo wake dhidi ya Masheikh hao leo hawakufika Mahakamani kama ilivuotarajiwa na badala yake wametuma hati ya kukata rufaa dhidi ya hukumu iliyowapa ushindi wa kesi 14, Masheikh.
Kufuati hatua hiyo shauri hilo litasitishwa kuendelea Mahakama Kuu mpaka litakaposajiliwa Mahakama ya Rufani na kukapangiwa Majaji wa kusikiliza na hatimaye kutolewa uamuzi.
Wito wa Shura ya Maimamu Tanzania kwa wananchi ni ule ule wa kuwa karibu na kesi hizi kubwa ili kuona na kupata fursa ya kutafakari mgumo wetu wa sheria, uongozi na mustakbali wa Taifa letu .
Ibrahim Z. Mkondo
Msemaji wa Shura ya Maimamu Tanzania.
0713118812
KWANI MAMA NDIYO ALIWAFUNGA AU WALIKAMATWA KWENYE KIPINDI CHAKE HATA MAGUFUI HAHUSIKIKwa hio mama Samia anafurahia kuona mashehe wake wanaendelea kusota lupango.
Aaaa nilisahau yeye na meko ni mwili mmoja
kesi imefutwaTumekupa urais wa MIGA haya futa kesi.
Hii kesi ipo kimataifa zaidi, serikali ya JMT kuipuuza kesi hii au kuwasamehe hawa Masheikh ni kujenga Uhasama na USA pamoja na UN
US na UN watchers wanawatega tu viongozi wa Bongo kupima maamuzi yao juu ya hawa Magaidi walioratibu umwagiaji wa Watalii na raia wengine tindikali
Pia hawa ni Maadui hata wa Waislam wenzao wa BAKWATA na BALUKTA wapenda Amani, ila waislam wa huku wafuata mkumbo hawajui hilo
Wanataka kusimamisha dola yao inayopingana na zote Tanzania na ni hawahawa waliosumbua sana watalii kule Mombasa
Wanapigana Jihad Ugoro
Asante mh, rais kwakuifuta kesi, endelea kutulinda tusishtakiwe miga.kesi imefutwa
pamoja sana ndugu yangu, tembea kifua mberee , tulichezewa sanaAsante mh, rais kwakuifuta kesi, endelea kutulinda tusishtakiwe miga.
ndugu nadhani utakuwa na kitu unajuwa je? kwani uliambiwa huyo mtu aliachiwa huru kwakuwa siyo mwislamu? je hujui kuwa huko arusha kuna watu wengine wanashikiliwa kwa suala hilo la ugaidi?Swali dogo tu mnashindwa kujibu, Yule Aliye tupa Bomu Kanisani Arusha yupo Gereza gani? Au kwa sababu sio muislaam yeye akifanya Ugaidi ni Sawa?
2021 bado unaamini WTC ni shambulia la kigaidi? Like seriously???Kama kweli walifanya vitendo ya kigaidi wanastahili vifungo kwa mujibu wa sheria.
Ogopa ugaidi ni hatari ,just imagine WTC ilivyoshuka na kuua watu 3000+ ,kama kweli walifanya vitendo vya ugaidi waendelee kusota tu mahabusu ila kama si kweli watatoka tu maana ushahidi utakuwa hakuna.
Mtaje jina acha uoga wengine hatumjuiSwali ni dogo tu jamani, kama kweli sio chuki dhidi ya waislaam na uislaam tunaomba jibu.
Yule aliye tupa Bomu Kanisani Arusha yupo Gereza gani? Au kwa sababu sio muislaam yeye akifanya Ugaidi ni Sawa?
Unaniuliza habari isiyonihusu Mimi na isiyohusiana na mada iliyopo mezaniSwali dogo tu mnashindwa kujibu, Yule Aliye tupa Bomu Kanisani Arusha yupo Gereza gani? Au kwa sababu sio muislaam yeye akifanya Ugaidi ni Sawa?
2021 bado unaamini WTC ni shambulia la kigaidi? Like seriously???
Na yule aliyeuwawa pale mbele ya miserani alikuwa nani maana naona munajidanganya Ili mushabikie ugaidiSwali ni dogo tu jamani, kama kweli sio chuki dhidi ya waislaam na uislaam tunaomba jibu.
Yule aliye tupa Bomu Kanisani Arusha yupo Gereza gani? Au kwa sababu sio muislaam yeye akifanya Ugaidi ni Sawa?
UTU WA MTU, hivi dada huo utu unaangaliaga sehemu moja tu? waliyokuwa wanayafanya kuharibu utu wa wenzao ilikuwqa halali? ila imefika zamu yao uangaliwe utu wao? sheria haiko hivyo wacha wale matunda ya kazi yaoHata kama walitaka kuasi ifike mahali utu wa mtu uheshimiwe.
Uwaheshimu Wauaji wasio na Utu wenyewe?Hata kama walitaka kuasi ifike mahali utu wa mtu uheshimiwe.