Jamhuri yakata rufaa dhidi ya Masheikh Uamusho

Jamhuri yakata rufaa dhidi ya Masheikh Uamusho

Bismillahir Rahmaanir Rahiim

SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

LEO TAREHE 28.04.2021, SERIKALI IMEKATA RUFAA MAHAKAMA YA RUFAANI DHIDI YA MASHEIKH

Tarehe 23.04.2021, Mahakama Kuu ilitoa hukumu ya ushindi kwa Masheikh wa kesi 14, Kati ya 25, zilizokuwa zinawakabili Masheikh.

Baada ya uamuzi huo shauri lilipangwa liendelea leo kwa kusikilizwa kesi 11, zilizobaki.

Katika hali ya kuonesha nia ya Serikali ya kuendelea na msimamo wake dhidi ya Masheikh hao leo hawakufika Mahakamani kama ilivuotarajiwa na badala yake wametuma hati ya kukata rufaa dhidi ya hukumu iliyowapa ushindi wa kesi 14, Masheikh.

Kufuati hatua hiyo shauri hilo litasitishwa kuendelea Mahakama Kuu mpaka litakaposajiliwa Mahakama ya Rufani na kukapangiwa Majaji wa kusikiliza na hatimaye kutolewa uamuzi.

Wito wa Shura ya Maimamu Tanzania kwa wananchi ni ule ule wa kuwa karibu na kesi hizi kubwa ili kuona na kupata fursa ya kutafakari mgumo wetu wa sheria, uongozi na mustakbali wa Taifa letu .

Ibrahim Z. Mkondo
Msemaji wa Shura ya Maimamu Tanzania.
0713118812
Kwa hio mama Samia anafurahia kuona mashehe wake wanaendelea kusota lupango.

Aaaa nilisahau yeye na meko ni mwili mmoja
 
Hii kesi ipo kimataifa zaidi, serikali ya JMT kuipuuza kesi hii au kuwasamehe hawa Masheikh ni kujenga Uhasama na USA pamoja na UN

US na UN watchers wanawatega tu viongozi wa Bongo kupima maamuzi yao juu ya hawa Magaidi walioratibu umwagiaji wa Watalii na raia wengine tindikali

Pia hawa ni Maadui hata wa Waislam wenzao wa BAKWATA na BALUKTA wapenda Amani, ila waislam wa huku wafuata mkumbo hawajui hilo

Wanataka kusimamisha dola yao inayopingana na zote Tanzania na ni hawahawa waliosumbua sana watalii kule Mombasa

Wanapigana Jihad Ugoro
 
Swali dogo tu mnashindwa kujibu, Yule Aliye tupa Bomu Kanisani Arusha yupo Gereza gani? Au kwa sababu sio muislaam yeye akifanya Ugaidi ni Sawa?
Hii kesi ipo kimataifa zaidi, serikali ya JMT kuipuuza kesi hii au kuwasamehe hawa Masheikh ni kujenga Uhasama na USA pamoja na UN

US na UN watchers wanawatega tu viongozi wa Bongo kupima maamuzi yao juu ya hawa Magaidi walioratibu umwagiaji wa Watalii na raia wengine tindikali

Pia hawa ni Maadui hata wa Waislam wenzao wa BAKWATA na BALUKTA wapenda Amani, ila waislam wa huku wafuata mkumbo hawajui hilo

Wanataka kusimamisha dola yao inayopingana na zote Tanzania na ni hawahawa waliosumbua sana watalii kule Mombasa

Wanapigana Jihad Ugoro
 
Swali dogo tu mnashindwa kujibu, Yule Aliye tupa Bomu Kanisani Arusha yupo Gereza gani? Au kwa sababu sio muislaam yeye akifanya Ugaidi ni Sawa?
ndugu nadhani utakuwa na kitu unajuwa je? kwani uliambiwa huyo mtu aliachiwa huru kwakuwa siyo mwislamu? je hujui kuwa huko arusha kuna watu wengine wanashikiliwa kwa suala hilo la ugaidi?
 
Kama kweli walifanya vitendo ya kigaidi wanastahili vifungo kwa mujibu wa sheria.

Ogopa ugaidi ni hatari ,just imagine WTC ilivyoshuka na kuua watu 3000+ ,kama kweli walifanya vitendo vya ugaidi waendelee kusota tu mahabusu ila kama si kweli watatoka tu maana ushahidi utakuwa hakuna.
2021 bado unaamini WTC ni shambulia la kigaidi? Like seriously???
 
Swali ni dogo tu jamani, kama kweli sio chuki dhidi ya waislaam na uislaam tunaomba jibu.

Yule aliye tupa Bomu Kanisani Arusha yupo Gereza gani? Au kwa sababu sio muislaam yeye akifanya Ugaidi ni Sawa?
Mtaje jina acha uoga wengine hatumjui
 
Swali dogo tu mnashindwa kujibu, Yule Aliye tupa Bomu Kanisani Arusha yupo Gereza gani? Au kwa sababu sio muislaam yeye akifanya Ugaidi ni Sawa?
Unaniuliza habari isiyonihusu Mimi na isiyohusiana na mada iliyopo mezani

Umeleta mada inayohusiana na Masheikh wa UAMSHO Zanzibar halafu unauliza habari ya Gaidi aliyetupia Bomu kanisani Arusha, wapi na wapi?

Anzisha mada yake hiyo, kwasasa jadili mada iliyopo mezani acha kisebusebu
 
2021 bado unaamini WTC ni shambulia la kigaidi? Like seriously???

Kwahiyo unataka Kusema WTC ni shambulio la aibu/kudhuru mwili na sio la kigaidi?

ALQAEDA.jpg
 
Hata kama walitaka kuasi ifike mahali utu wa mtu uheshimiwe.
 
Back
Top Bottom