Jamhuri yakata rufaa dhidi ya Masheikh Uamusho


Wewe bado mchanga sana, huujui uislamu kiundani, unaongea vitu usivyo na uhakika navyo ama chuki tu zinakusumbua dhidi ya waislamu, muda nilishakusoma.

Uislamu ni amani. , ndio maana nikakuomba ushahidi wa hao masheikh, je! ni wapi wamelipua!!!!!
 
Walihamasisha Nini please
Hao walikuwa na movement kali ya kijihad ya kutaka kuiondoa Zenji kwenye muungano wakidai wanasiasa wameshindwa sasa ni zamu yao kama viongozi wa kidini kutekeleza hilo na lengo kubwa ni zenji iwe dola la kiislamu kama nchi nyingine za kiislamu kwenye mihadhara yao ilikuwa full tafrani pitia tu clip zao youtube uwasikilize
 
kuna mzee mmoja kaishi USA miaka 21...na kipindi tukio la 9/11 alikuwepo kule anakwambia lile tukio limetabiriwa kutokea toka zamani sana sio eti ni ugaidi kama tunavyo karirishwa huku,ile ni mipango ya wazungu kuuhadaa ulimwengu tu.
pitia hii mkuu
 
Wakati mwingine bora kuungana na Yeriko Nyerere anayejinasibu kuamini katika mizimu maana hizi dini hazieleweki
 
proof yako ni wikipedia?...lile tukio lilipangwa na usa wenyewe kaka..wake up!!
Whether limefanywa na USA au Alqaeda lakini shambulio la WTC ni la kigaidi.

Unaweza ukaweka hizo conspiracy zako kwamba USA ndio waliolipua WTC?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…