Mbo Mpenza
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 445
- 1,114
[emoji1][emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri nambaa tuuu... Harmonize kamuweka kajalaaa mpaka kajala kapagawaaa so kuhusu kuwekwaa hilo halina shidaaMie mwanaume wa kumzidi umri namuona kama mwanangu.
Halafu naona kama vile atakuwa "haniweki vizuri" [emoji1787]
Nadhani akinizingua naweza kumuwasha makofi.
Raha ya mwanaume anizidi umri, akili, elimu, urefu na uchumi.
#teambigboys#
Harmonie alihonga range.Umri nambaa tuuu... Harmonize kamuweka kajalaaa mpaka kajala kapagawaaa so kuhusu kuwekwaa hilo halina shidaa
Hahahaha upo sahihi ila iwe ni muono wako ila usilazimishe wengine kuwa na mtazamo wako katika jamii icho ndio twawaombaMwanaume anatakiwa kunizidi kwa kila kitu isipokuwa muonekano tu
Congrats and congrats again you have life to enjoy not to impress.....ila jamii inatupa mishale mizito sana lazima ujiandae haswa kuwashinda hawa backbitersMiezi tu? Kama kweli unampenda kuwa nae. Ukifuata jamii itakuonaje hutakaa ufanye lolote maishani mwako. Zamani nilikua na huu mtazamo mpaka yaliponikuta nilimpenda mwanaume namzidi miaka 3 na nipo nae hadi sasa. Kwa hiyo rafiki amua maisha yako bila kuwaza nani atakufikiria vipi.
Kwani Kuna sehemu nimelazimisha we kaka vipiHahahaha upo sahihi ila iwe ni muono wako ila usilazimishe wengine kuwa na mtazamo wako katika jamii icho ndio twawaomba
Walishaanza ooh mbona mwanaume mdogo nawaambiaga haya ni maisha yangu waniache.Congrats and congrats again you have life to enjoy not to impress.....ila jamii inatupa mishale mizito sana lazima ujiandae haswa kuwashinda hawa backbiters
Naona ushapata jimama lako Sasa unatafuta justification hapaUmeamua tu !! Kutobadili msimamo hasi na ovu mkuu
Hahaha ondoa negative thoughts mkuu.......sisi kama jamii inatakiwa tulipokee hili bila kuhukumuNaona ushapata jimama lako Sasa unatafuta justification hapa
Oa tuu hatuwezi kukuzuia
Nyie ndiyo mtaishi pamoja
Mkuu kama umesoma sayansi ya viumbe(Biology), utakubaliana na mimi kwamba viungo vya uzazi vya binadamu wa kike hutangulia ama tuseme huwahi kuzeeka(kukoma) (menopause).Kumezuka wimbi kubwa la wanaume wengi wanaozama kwenye dimbwi la mahusiano ya kimapenzi na baadae sana wanagundua wapenzi wao wamewazidi umri kitu ambacho jamii ya kiTanzania inakichukulia kama kitu cha aibu na cha ajabu mno.
Kwenye kila taasisi kuanzia ya familia, makazini na nyumba za ibada uhukumu kwa ubaya sana wapenzi hawa na mala zote anayeonekana anamuonea mwenzake ni mwanamke kisa ni mkubwa kiumri.
Kitendo hiki kikitokea kwa mwanamke kuzidiwa umri na mwanaume kwenye mahusiano ya kimapenzi kinapokelewa kama kitu sahihi na kimekamilika , mwanamke anaweza zidiwa hata miaka 10-20 na mwanaume na jamii inaona ndio kitu sahihi na wengi wa wanawake hufurahia hili lakini punde tu !! Mwanamke anapomzidi umri yule mwanaume basi hao wapenzi husakamwa na kusimangwa kwa methali na nahau na vijembe kutwa kucha.
Jamii inabidi ibadilike sasa ....nawasilisha
Umeyasikia haya mtoa mada ewe mtakatifu Mwakyoma?Mie mwanaume wa kumzidi umri namuona kama mwanangu.
Halafu naona kama vile atakuwa "haniweki vizuri" 🤣
Nadhani akinizingua naweza kumuwasha makofi.
Raha ya mwanaume anizidi umri, akili, elimu, urefu na uchumi.
#teambigboys#