Jamii iache kuhukumu vibaya wanaume wanao ingia kwenye mahusiano ya kimapenzi ( ndoa ) na wanawake wenye umri mkubwa kuwazidi

Mie mwanaume wa kumzidi umri namuona kama mwanangu.
Halafu naona kama vile atakuwa "haniweki vizuri" [emoji1787]
Nadhani akinizingua naweza kumuwasha makofi.
Raha ya mwanaume anizidi umri, akili, elimu, urefu na uchumi.

#teambigboys#
Umri nambaa tuuu... Harmonize kamuweka kajalaaa mpaka kajala kapagawaaa so kuhusu kuwekwaa hilo halina shidaa
 
Maisha yako ni Nini? Maisha yako yanakuwa yako siku ukiacha kusikiliza mitazamo, maoni kutoka kwa watu wengine, utaishi kwa raha kama Mimi tu hapa
 
Mwanaume anatakiwa kunizidi kwa kila kitu isipokuwa muonekano tu
Hahahaha upo sahihi ila iwe ni muono wako ila usilazimishe wengine kuwa na mtazamo wako katika jamii icho ndio twawaomba
 
Congrats and congrats again you have life to enjoy not to impress.....ila jamii inatupa mishale mizito sana lazima ujiandae haswa kuwashinda hawa backbiters
 
Congrats and congrats again you have life to enjoy not to impress.....ila jamii inatupa mishale mizito sana lazima ujiandae haswa kuwashinda hawa backbiters
Walishaanza ooh mbona mwanaume mdogo nawaambiaga haya ni maisha yangu waniache.
 
Naona ushapata jimama lako Sasa unatafuta justification hapa
Oa tuu hatuwezi kukuzuia

Nyie ndiyo mtaishi pamoja
Hahaha ondoa negative thoughts mkuu.......sisi kama jamii inatakiwa tulipokee hili bila kuhukumu
 
Wewe unadhani kwanini jamii ina mtazamo mbaya kuhusu mwanamke kumzidi umri mwanaume?

Ulishawahi kuzifahamu hizi hoja.
1. Umri mkubwa zaidi ni mamlaka, hekima, busara, mwenye kustahili kuheshimiwa na kusikilizwa zaidi nk.

2. Mwanamke anazeeka mapema kisayansi (mwanamke mwenye miaka 45, tayari huyo ni mzee kisayansi, hawezi tena kuzaa au kubahatisha kuzaa, anapoteza hamu ya mapenzi, hana tena msisimko imara wa kingono nk). Wakati umri huo kwa mwanaume ndio peak ya juu katika kuutafuna ujana.

3. Kisayansi mwili na akili za mwanamke zinakuwa haraka na kukomaa mapema kuliko mwanaume, hivyo mwanaume kumzidi umri mwanamke ni ili kutengeneza uwiano wa kuleta ufanisi wa kimaisha ya kindoa na familia.
 
Mkuu kama umesoma sayansi ya viumbe(Biology), utakubaliana na mimi kwamba viungo vya uzazi vya binadamu wa kike hutangulia ama tuseme huwahi kuzeeka(kukoma) (menopause).

Usishauri vijana wa kiume kuparamia wamama kuwaoa isipokuwa wawatumie kwa mahusiano ya kimapenzi pekee maana wanafaa sana.

Ni hasara kubwa kwa kijana wa kiume kuoa mwanamke aliyemzidi umri na makamo kutokana na sababu nilizozitaja hapo juu.

Inashauriwa watafute wenza wa kike wa kuoa wanaowazidi umri takribani kuanzia miaka mitano na kuendelea, umri huo ndiyo wataweza kuzeeka kwa pamoja kibaiolojia.

Na nani aliyekwambia, na tangu lini kipya kikathamanishwa na mtumba?
 
Mie mwanaume wa kumzidi umri namuona kama mwanangu.
Halafu naona kama vile atakuwa "haniweki vizuri" 🤣
Nadhani akinizingua naweza kumuwasha makofi.
Raha ya mwanaume anizidi umri, akili, elimu, urefu na uchumi.

#teambigboys#
Umeyasikia haya mtoa mada ewe mtakatifu Mwakyoma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…