Jamii ya wahadzabe ilindwe, baada ya miaka 8 hawatokuwepo tena

Dudukwe ndiyo nini?
Huyo ndo celebrity kwa wahdzabe ! Ndo ameonekana sana kwenye mitandao ya kijamii ! Yaan ukienda kuwatembelea wahadzabe usionane na Dudukwe huku uraiani tunaona kama umeigiza hukufika pori uliishia njiani ukaokoteza wahadzabe
 
Hii jamii haitakiwi kulindwa kwani wenyewe hawataki kusaidiwa, wanataka waishi maisha wakifanana na wanyama na kutooga. Waachwe tu waangamie.
 
Hii jamii haitakiwi kulindwa kwani wenyewe hawataki kusaidiwa, wanataka waishi maisha wakifanana na wanyama na kutooga. Waachwe tu waangamie.
Eeh ndo muwaache kuwashobokea we wasipooga inapunguza chakula kiasi gani nyumbani kwako
 
Hizo ndo jamii bora na Asilia mkitaka kuwaletea usasa mtaharibu Sana.
 
Wako so primitive sana! Sometimes kuwepo muingiliano na watu wengine ili kuwapa kujua kinachoendelea duniani.
Angalau wawe kama Wamasai hivi ambao pamoja na muingiliano na watu wengine lakini bado wamepreserve utamaduni wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…