Jamii ya Waislamu waishio UK Waandamana kuunga mkono ndoa za jinsia moja

Jamii ya Waislamu waishio UK Waandamana kuunga mkono ndoa za jinsia moja

Status
Not open for further replies.
Wanajitekenya ndio maana wanatumia nguvu kubwa kusafisha hayo mambo ila yapo na yatakuwepo. Sasa kuna movement ya Waislamu kula nguruwe. Hiyo wataipinga.
Waislamu hawajakatazwa kula nguruwe,wameambiwa wale endapo hakuna chakula tofauti na nguruwe,so hilo sio katazo ni limitations tu katika vipimdi fulani.
 
Uislam hauruhusu ushoga, mtu kama tundu lake la Mboji linawasha yeye wamfire tu asisingizie Uislam.
Mudi alibaka vitoto vidogo,na ndio msingi wa uislamu wenu na kila siku mnamswalia,pathetic
 
On serious note, hivi hao wanaosapoti Ndoa za jinsia moja wamekubali kuishi bila kupata watoto kwenye maisha yao??

Hivi tangu lini mkun****u ukawa na uwezo wa kutungishwa mimba?

Mifugo yenyewe tunayofuga, ukitaka izaliane Kwa wingi tunanunua ng'ombe jike sita wakati huo huo unakuwa na dume la mbegu moja Kwa kazi ya kuzalisha majike

Sasa hao wenzetu sijui Wana mpango gani na Dunia yetu 🙌
 
Hao sio waislamu, ni kikundi cha wahuni ambao wanaeneza propaganda za ushoga kwa mgongo wa dini.
Mkuu, wamejitambulisha kuwa wao ni Waislam na misikiti wanayoswali inajulikana.
Kingine, nilwahi kusema kwamba Uislam siyo dini bali ni approach anayoitumia Mwarabu kusambaza utamaduni wake.
Kiimani, Uislam wa Magharibi na Ule wa waarabi ni tofautika kabisa kama Mbingu a nchi.
Uislam wa uarabuni unabebwa na kusimamiwa na kulindwa na serikali, ukiukosea Uislam utaadhibiwa na serikali, serikal zinafuata sheria na matakwa ya uiislam.

Wakati upande wa Magharibi, huku uislam unatakiwa kuheshimu sheria na utamaduni wa watu wa nchi hizo. Uislam unapangiwa maelekezo, uislam ukikosea unaadhibwa.

Hakuna Mwislam anayetoa nchi ya Kiislam na kukimbilia nchi nyingine ya Kiislam, bali wanakimbiliap uislam wa Magharibi sababu Uislam wa Magharibi kwao ni kama 'umebatizwa' au umetahiriwa, ndiyo maana wanakimbilia zaidi Maghari, hawautaki tena ule uislam ambao haujakatwa (govi).

Tukirudi kwa hao waandamaaji, ni waislam, uislam wa Magharibi imam wa kike anaswalisha wanaume, kuna hadi maiam mashoga
 
Hii haina tofauti ni ile kesi ya kanisa katoliki na wakristo wazungu wanaokubali mashoga...

Ni baadhi ya waislamu walioamua kutafsiri Quran kwa mtazamo wao.

Haimaanishi waislamu wote wanakubali ushoga.
Mkuu umeongea point saana waswahili wanasema padree akibaka usiseme ukristo haufai na pia Shekh akibaka usiseme Uislam haufai.Hivyo basi tusituhum dini wala taifa lolote ktk mambo hayo ya ufiraun badala yake tujue ni makundi ya wachache ktk watu wengi.
 
Mku
Umejuaje kama huyo aliyeleta mada ni Mkristo? Muda ni jibu la mambo yote.
Mkuu we muache tuu siku akijua kama huo ndo ukweli pengnine atazimia.Kiufupi kila mtu amshike Mungu wake wa kweli kisawsaw maana dunia hali ya sas ni kama chemical test of pure compound among hundreds of impure ones.Au extraction ya chuma toka kwa ore yake.
 
Dunia nzima sijui kama kuna nchi yenye katiba ya kikristo kama zipo ni chache saana na haziwez lazmisha watu waifuate biblia kwa Lazma.Hili linafanya mkristo aamue kutoka moyoni kumfuata kristo au aache haijalishi anaishi maeneo yenye changamoto gan kwake.Kwa waislamu wanaotoka nchi ambazo kufuata dini ni lazma wakiingia maeneo ambayo wako huru ni rahisi kuyumba maana rangi zao halisi zinaonekana.Kiufupi idad ya waislam katika nchi za kiarabu inaweza isifike hata nusu yao ikiwa wakipewa uhuru wa kuabudu kama waislam wa hapa bongo.Kwahyo msiwashangae hao kabisa.Yaani Muislam wa tz bara ni strong zaid kuliko muislam kutoka saud coz anaweza isimamia imani yake katika mazingira yoyote ni mtazamo wangu.
 
Kwenye uisilamu ili mtu awe classified kama shoga inabidi watu wanne wazima wenye akili zao timamu washuhudie hicho kitendo, mtu kuwa na tabia tabia za kike haimaanishi ni shoga, kumdhania vibaya mwanadamu mwenzako pia si tabia nzuri.
Unaingia unatoka unaingia unatoka.

Pale juu kwa maneno yako umesema hao wakiingia Msikitini watakula mabanzi mpaka washangae lakini hapa unasema tena mpaka ithibitike kwa kuonwa na watu timamu wanne wakinajisiwa unataka kusema hapo UK wao wanafanya hadharani kama mbwa kiasi iwe rahisi kuwatambua wakiingia Msikitini watiwe adabu?

Vinginevyo wanaoandamana hapo wakiingia Msikitini ukawapiga tayari umeshawadhania vibaya which is ni dhambi kwa mujibu wako.sikiliza bro,sisi wote wenye hizi imani tunavuja damu mioyoni tunapoona ujinga huu unakuwa planted kwenye tunavyoviheshimu lakini tukubali tukatae dunia ipo sehemu mbaya sana utakapojaribu kutetea utakuta umezusha maswali mengi zaidi cha msingi ni ku-stick na imani yako wewe na wa nyumbani kwako la sivyo utakuwa unaumiza tu akili yako
 
Unaingia unatoka unaingia unatoka.

Pale juu kwa maneno yako umesema hao wakiingia Msikitini watakula mabanzi mpaka washangae lakini hapa unasema tena mpaka ithibitike kwa kuonwa na watu timamu wanne wakinajisiwa unataka kusema hapo UK wao wanafanya hadharani kama mbwa kiasi iwe rahisi kuwatambua wakiingia Msikitini watiwe adabu?

Vinginevyo wanaoandamana hapo wakiingia Msikitini ukawapiga tayari umeshawadhania vibaya which is ni dhambi kwa mujibu wako.sikiliza bro,sisi wote wenye hizi imani tunavuja damu mioyoni tunapoona ujinga huu unakuwa planted kwenye tunavyoviheshimu lakini tukubali tukatae dunia ipo sehemu mbaya sana utakapojaribu kutetea utakuta umezusha maswali mengi zaidi cha msingi ni ku-stick na imani yako wewe na wa nyumbani kwako la sivyo utakuwa unaumiza tu akili yako
Kuna mambo mawili hapo unachanganya Soma comments vizuri upate context.

1.kutangaza Ushoga
2. Kumdhania mtu shoga.

Kama mtu amebeba bendera ya ushoga na kuandamana na kuingia msikitini hio ni case nyengine.

Kama mtu wamezaliwa na hormone za kike nyingi hali ya kuwa ni mwanaume ama hasimamishi lakini hajihusishi na hivyo vitendo ama huna ushahidi wa kujihusisha hilo ni jambo jengine na huna haki ya kumdhania vibaya.
 
Na v
Uislam ambao umemtaka mwanamke kujistiri,wanaume wawe rijali kwa maana wawaendee wanawake na sio kuwaendea wanaume wenzao au wanawake tofouti na maumbile yao..hicho kitakua kikundi kama vikundi vingine vya hovyo vya kudhalilisha uislam
ep kuhusu wakristo wanahusu hayo mambo au nawao ni vikundi tuu kama usemavyo!?
 
Lete andiko, mimi nina evidence ya maadiko ya qur an kuhusiana na muhammad kupulizwa matakoni, lete nawewe andiko.
Kama una evidence si uleta kelele za nini? Paulo alikuwa bwabwa ndio maana hakuna na demu , Ibrahim tu alikuwa na demu , yule Paulo alikuwa chakula
 
Kuna mambo mawili hapo unachanganya Soma comments vizuri upate context.

1.kutangaza Ushoga
2. Kumdhania mtu shoga.

Kama mtu amebeba bendera ya ushoga na kuandamana na kuingia msikitini hio ni case nyengine.

Kama mtu wamezaliwa na hormone za kike nyingi hali ya kuwa ni mwanaume ama hasimamishi lakini hajihusishi na hivyo vitendo ama huna ushahidi wa kujihusisha hilo ni jambo jengine na huna haki ya kumdhania vibaya.
Labda Kama unataka kubishana!

Kwa hiyo mtu aliyebeba bendera ya ushoga na kuandamana ni ipi hukumu yake ikitokea akaingia msikitini akakamatwa?
 
Hao hapo waislamu wanaandamana wanataka kupelekewa moto. Ni dini yakwanza kufanya hivyo
Waislamu na UK wapi na wapi?sio nchi ya kiislamu hiyo nchi ya wafirwaji , kwahiyo ruksa mashoga kujitangaza, kufirwa, kuandamana na kuolewa, yaani hiyo ni pepo ya wafirwaji
 
Labda Kama unataka kubishana!

Kwa hiyo mtu aliyebeba bendera ya ushoga na kuandamana ni ipi hukumu yake ikitokea akaingia msikitini akakamatwa?
Una zungumzia nchi gani? Kwa nchi kama UK mashoga wana haki , na ni halali kufanya ushoga, lakini wakija msikitini kama ni hapo hapo UK tutawatoa maana ni dhambi wakafanyie upumbavu wao huko huko
 
Una zungumzia nchi gani? Kwa nchi kama UK mashoga wana haki , na ni halali kufanya ushoga, lakini wakija msikitini kama ni hapo hapo UK tutawatoa maana ni dhambi wakafanyie upumbavu wao huko huko
Niache kwanza utanichanganya mimi sizungumzii habari za nchi nipo na baba mwajuma namngoja akinijibu nililomuuliza may be nitataka kufahamu na uliyoandika hapa so nitakurudia.
 
Niache kwanza utanichanganya mimi sizungumzii habari za nchi nipo na baba mwajuma namngoja akinijibu nililomuuliza may be nitataka kufahamu na uliyoandika hapa so nitakurudia.
Wewe unazungumzia nini ujibiwe majibu yapo tuu
 
Labda Kama unataka kubishana!

Kwa hiyo mtu aliyebeba bendera ya ushoga na kuandamana ni ipi hukumu yake ikitokea akaingia msikitini akakamatwa?
Kwenye Nchi ambayo sio ya kiisilamu atahukumiwa na sheria ya hio Nchi, ila kwenye uisilamu ukiona jambo baya
1. Ulitoe kwa mkono wako
2. Uongee
3. Chukia (udhaifu wa imani)

Ukiingia na bendera ama kitu chochote kisichofaa utatolewa kwa nguvu, watu watakuambia kama husikii ni ugomvi tena huo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom