Jamii ya Waislamu waishio UK Waandamana kuunga mkono ndoa za jinsia moja

Jamii ya Waislamu waishio UK Waandamana kuunga mkono ndoa za jinsia moja

Status
Not open for further replies.
Siyo kweli dogo.
Mbona uarabuni wanakotumia SHARIA kuna ushoga?
Mashoga wapo kila mahali , kwasababu yale mambo ni ya chumbani, ila kitendo cha serikali kuruhusu hawa watu kuutangaza na kuadhimisha ufiraji kwa kufanya maandamano hadharani huu ni ushetani
 
Na ndio Putin, Lisu na watu wote wenye Akili Msimamo wao ulivyo, Unachofanya chumbani kwako fanya mwenyewe, ila kubanduana kwenu huko mkafundishe watoto, kila saa mpo Barabarani watu hawahemi bila kuambiwa ushoga ni Big no.
Sahihi kabisaa upumbavu hautangazwi
 
Wana gongo sana mtaani huku tunaishi nao , usidanganyike , wakisha gonga Kanisa A wana amishiwa kanisa B maisha yana endelea , wengine wana jigongea masista ndani kimya kimyaaa
sasa mbona hatuoni masista wakipata mimba kama wanapigwa miti?
 
Sasa wale waislamu wana sauti gani kwa Netanyahu na serikali yake? ile nchi ni ya wayahudi ndio maana wale waislamu baadhi ya haki hawapati pamoja kwamba wapo Israel humo humo
Unapozungumzia haki, kwani WAKRISTO wa Iran wanahaki gani
 
sasa mbona hatuoni masista wakipata mimba kama wanapigwa miti?
Wewe ndio huoni, salomia watu uonyeshwe, kuna jamaa alikichafua Arusha balaaaa akapelekwa mkoa fulani hivi, huko napo kama kawaida
 
Toka lini uislam na ushoga vikaenda sambamba, wambie waende nchi za kislam wakalete ushoga wao huo uone kitakacho wapata. Tatizo wapo kwenye nchi za kikristo huko ndio kuna ushoga lazima na wao wawe mashoga .
Sasa hivi ndio nimeelewa kwanini Waisilamu wanakimbilia Nchi za West kwenda kugonoka mabarabarani kujifanya wanaswali kumbe wanatangaza Buashara😆
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom