Jamii ya Waislamu waishio UK Waandamana kuunga mkono ndoa za jinsia moja

Jamii ya Waislamu waishio UK Waandamana kuunga mkono ndoa za jinsia moja

Status
Not open for further replies.
Huyo ulomtaja ukiambiwa ulete ushahidi kama shoga huna acha kuchafua watu
Amejirekodi mara kadhaa akisifia kuliwa, ametoa voice note mara kadhaa akijisifia kulowa, WhatsApp chats zake Mara kadhaa zimevuja akijisifia kulowa. Hii kwenye uislamu haitoshi kumzuia kuingia msikitini?

Huko zenj aande rama video zipo bado anaingia, mauzinde nae anajulikana na kila mtoto mdogo lakini bado msikitini anaingia.

Acheni unafki
 
Kwa sababu wakiristo wa bara wanazuia kuanzishwa sheria za kiislam. Zikiwepo tu yote hayo yataondoka
Dogo, mbona Zanzibar kwa waislamu wengi kuna makadhi na maimamu wanaosalisha misikitini na pia wanamiliki wasenge majumbani mwao?

Bwana Utam
 
Yule sio imamu ni shoga ,na ile ni nyumba yake aliamua kuita msikiti , kwahiyo serikali ina mlinda hakuna la zaidi, UISLAMU hauna ruhusa na hao wapuuzi
Ndio maana wanaandamana kuitaka hiyo ruhusa iwepo na kukubalika
 
images.jpeg
 
Waislam kukimbilia nchi za magharibi na kununua makanisa ulaya na kuyageuza misikiti huko si kukua kwa uislam ulaya bali ni kufa kwa uislam. Uislam wa ulaya na amerika utakuwa ni uislam wa ajabu kama inavynanza kujitokeza. Haya sasa wanaunga mkono ushoga!
Hao ni mamluki sio waislamu Kwa itikadi zao
 
Katika vitu ambavyo ulimwemgu wa dini hauwezi pambana nao ni MUDA. Muda ni jibu zuri kwa kila jambo chini ya jua.

Leo kumeshakuwa na mitume na manabii ndani ya uislam. Kumeshakuwa na uimbaji wa kaswida wa hovyo tena wanakata mauno kama miziki ya kidunia. Sasa kuna mafuta na maji ya upako misikitini.

Hata kama mnatumia nguvu nyingi kupambana na hivyo vitu ila muda ni jibu la mambo yote.

Tuombe uzima huku yetu yakiwa macho na masikio. Tutaona na kusikia zaidi ya hayo.
Noma sana!
 
Mtume alinyonywa ulimi na mwanaume mwenzake, alimwomba allah amwingize mwingizo mwema, alipulizwa matakoni na shetani huyo sio shoga?
Ebu acha bangi ww, mtume alikuwa shababi wanawake zaidi ya 6 , yule Paulo aliekuwa anakaa UCHI wakati wa baridi halafu hana mwanamke alikuwa bwabwa labda, ndio maana huko uzunguni ushoga umeshika kasi sana maana ni tabia yao
 
Acha kufananisha Uislamu na mashoga wako wa ulaya wewe

View attachment 3141055

Lete gwaride la wafirwaji kama hilo kutoka Saudi Arabia au Iran, watu wanachezewa vinyeo nyie mnaona ndio uhuru
Laini si mlisema Israel waislamu ni wengi kuliko wakristo?Na mkasema wanakadiriwa kuwa asilimia 15 ya popolation ya Israel.
Tuna uhakika gani kuwa hayo mashoga ya Israel yanayoandamana hayatokani na hii asilimia 15
 
Mtume alinyonywa ulimi na mwanaume mwenzake, alimwomba allah amwingize mwingizo mwema, alipulizwa matakoni na shetani huyo sio shoga?
Kuna yule sheikh alikuwa sheikh mkuu wa mkoa ni shoga la kutupwa ila hutosikia waislamu wakimsema ingawa anajulikana kabisa. Zanzibar, Mombasa, Tanga ni maeneo ya waislamu hayo yamejaa mishoga ya kiislamu kupindukia
 
Dogo, mbona Zanzibar kwa waislamu wengi kuna makadhi na maimamu wanaosalisha misikitini na pia wanamiliki wasenge majumbani mwao?

Bwana Utam
Ikitokea kutumika sheria za kiislam full badala ya sheria hizi zetu yote yataondoka. Yaani mahakamani itemike Quran
 
Katika sheria ya dini ya uislam kuna mambo ukiyafanya umeshatoka nje ya uislam na SIO MUISLAM TENA yani UMEKUFURU.
Kama unataka urudi kuwa muislam uache hilo jambo na UTAMKE TENA SHAHADA na UTUBU.
Mathalan ushoga.
Ukishakua shoga wewe UMESHAKUFURU NA KUUACHA UISLAM.
Labda uache ushoga,utubu na UTAMKE TENA SHAHADA ndio utapokelewa tena kuwa muislam.
Sheria ya UISLAM ipo hivyo.
Kwahiyo HAO SIO WAISLAM NI MAKAFIRI.
Vipi ukizini, ukinywa pombe au kula kitimoto??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom