Jamii ya Waislamu waishio UK Waandamana kuunga mkono ndoa za jinsia moja

Jamii ya Waislamu waishio UK Waandamana kuunga mkono ndoa za jinsia moja

Status
Not open for further replies.
Kwenye uisilamu ili mtu awe classified kama shoga inabidi watu wanne wazima wenye akili zao timamu washuhudie hicho kitendo, mtu kuwa na tabia tabia za kike haimaanishi ni shoga, kumdhania vibaya mwanadamu mwenzako pia si tabia nzuri.
Mbona huko uswahilini watu wanaitana shoga kiholela?
 
Ebu acha bangi ww, mtume alikuwa shababi wanawake zaidi ya 6 , yule Paulo aliekuwa anakaa UCHI wakati wa baridi halafu hana mwanamke alikuwa bwabwa labda, ndio maana huko uzunguni ushoga umeshika kasi sana maana ni tabia yao
kama ni hivyo inakuaje mnakimbilia nchi za mashoga kama hamuendi kuunga juhudi? Ona hayo maandamano
 
Ebu acha bangi ww, mtume alikuwa shababi wanawake zaidi ya 6 , yule Paulo aliekuwa anakaa UCHI wakati wa baridi halafu hana mwanamke alikuwa bwabwa labda, ndio maana huko uzunguni ushoga umeshika kasi sana maana ni tabia yao
Hadith Idadi ya 16,245 Muddy anamnyonya ulimi nankuulamba mdomo wa al hassan mwana wa al na akachezea uume wa al hassan mwana wa al. Je huu sio Ushoga?
 
Hadith Idadi ya 16,245 Muddy anamnyonya ulimi nankuulamba mdomo wa al hassan mwana wa al na akachezea uume wa al hassan mwana wa al. Je huu sio Ushoga?
Lete hapa hiyo hadithi tukufundishe, usilete maneno kama kasuku, watu wanapigwa miti ulaya huko unaleta utetezi mfu
 
Laini si mlisema Israel waislamu ni wengi kuliko wakristo?Na mkasema wanakadiriwa kuwa asilimia 15 ya popolation ya Israel.
Tuna uhakika gani kuwa hayo mashoga ya Israel yanayoandamana hayatokani na hii asilimia 15
Sasa wale waislamu wana sauti gani kwa Netanyahu na serikali yake? ile nchi ni ya wayahudi ndio maana wale waislamu baadhi ya haki hawapati pamoja kwamba wapo Israel humo humo
 
Mbona huko uswahilini watu wanaitana shoga kiholela?
ni tafsiri mbili, shoga maana nyingine ni rafiki, wanawake kwa wanawake huitana hivyo. Tafsiri nyingine ya mashoga ni wasenge, USHOGA=USENGE
 
Toka lini uislam na ushoga vikaenda sambamba, wambie waende nchi za kislam wakalete ushoga wao huo uone kitakacho wapata. Tatizo wapo kwenye nchi za kikristo huko ndio kuna ushoga lazima na wao wawe mashoga .
Hata kwenye nn
Hakuna nchi yeyote ya kiislamu utaona hizo takataka za mashoga kuandamana, nyie na wazungu wenu endeleeni kuutanga ushoga na hizo porojo zenu
Nchi za kislam mashoga wapo kibao tu sema wao hawajitokezi hadharani kuhofia maisha yao na huo ndo tufauti na nnchi za kikristo. Inshort mashoga waslam wapo na wakristo pia wapo.
 
Hata kwenye nn

Nchi za kislam mashoga wapo kibao tu sema wao hawajitokezi hadharani kuhofia maisha yao na huo ndo tufauti na nnchi za kikristo. Inshort mashoga waslam wapo na wakristo pia wapo.
Kweli lakini kafanye ujinga wako kwingine sio mbele za watu wenye adabu zao, huoni Uislam kama unakataza ujinga hapo.
 
Mbona huko uswahilini watu wanaitana shoga kiholela?
Hizo ni tabia zao wenyewe na sio mafundisho ya dini, uswahilini pia kuna vigodoro, baikoko, singeli, segere, na mengineyo ni katika viwanda vinavyofanya vizuri sana kuzalisha tabia.
 
Hata kwenye nn

Nchi za kislam mashoga wapo kibao tu sema wao hawajitokezi hadharani kuhofia maisha yao na huo ndo tufauti na nnchi za kikristo. Inshort mashoga waslam wapo na wakristo pia wapo.
Hata Tanzania mashoga wapo ila ni ushetani kuruhusu watu wautangaze kama jambo zuri tena wanapiga paredi kama vile wanatangaza jambo la maana
 
Hata kwenye nn

Nchi za kislam mashoga wapo kibao tu sema wao hawajitokezi hadharani kuhofia maisha yao na huo ndo tufauti na nnchi za kikristo. Inshort mashoga waslam wapo na wakristo pia wapo.
Na ndio Putin, Lisu na watu wote wenye Akili Msimamo wao ulivyo, Unachofanya chumbani kwako fanya mwenyewe, ila kubanduana kwenu huko mkafundishe watoto, kila saa mpo Barabarani watu hawahemi bila kuambiwa ushoga ni Big no.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom