Jamii ya Waislamu waishio UK Waandamana kuunga mkono ndoa za jinsia moja

Status
Not open for further replies.
Katika maisha haya shetani anacheza na akili za watu vzr xana kikundi cha watu kinainuka kama hvo na kujitangaza wao ni dini fulani pia wanaanza kupotosha dini hiyo kwa kusaport mambo ya hovyo kama hvo lengo kuu ni kuwatowa watu katika msingi mzuri wa dini hiyo. maana watu wanapoona hali hyo dini hyo tayar inapoteza ukwel ndani ya watu hawawezi kuimin tena hyo dini ila ukweli ni kuwa huu ni mchezo wa akili unaofanywa na watu wasio amini Mungu kwa kutumia dini fulani kuwapoteza watu.dini bado zinasimama na misingi yake imara ila watu wachache wanatumia kila namna kuwapoteza watu jaman huu ni mchezo wa akili na ni watu wahache sana wanaweza kulielewa hili
 
Katika maisha haya shetani anacheza na akili za watu vzr xana kikundi cha watu kinainuka kama hvo na kujitangaza wao ni dini fulani pia wanaanza kupotosha dini hiyo kwa kusaport mambo ya hovyo kama hvo lengo kuu ni kuwatowa watu katika msingi mzuri wa dini hiyo. maana watu wanapoona hali hyo dini hyo tayar inapoteza ukwel ndani ya watu hawawezi kuimin tena hyo dini ila ukweli ni kuwa huu ni mchezo wa akili unaofanywa na watu wasio amini Mungu kwa kutumia dini fulani kuwapoteza watu.dini bado zinasimama na misingi yake imara ila watu wachache wanatumia kila namna kuwapoteza watu jaman huu ni mchezo wa akili na ni watu wahache sana wanaweza kulielewa hil
 
Waislam wanatifuana sana angalia sehemu za pwani uislamu ulipo anzia ndo utashangaa usodoma ulivyooenea
 
Wako wapi wafia dini ya kiislam? Ngoja waone dini yao inavyoharibiwa, kutakuwa na uislam wa kimagharibi, uislam uliojazwa mila za kimagharibi
Huwa mnafurahi sana kuona mtu anayejinasibisha na Uislamu akifanya jambo lisiloendana na Uislamu, eti eenh? hii ni sawa na mTanzania kula mirungi halafu we ukafurahia kuwa sasa waTanzania wamehalalisha mirungi ... mnachokishabikia kinachekesha sana kwa kweli.

Uislamu upo kamili, haubadiliki kwa wanaoupinga kujinasibisha nao. Kubwa zaidi msilolijua ni maana halisi ya 'Uislamu', hii ni kujisalimisha katika kutii amri ya Allah na muongozo wake kama ulivyofundishwa na Mtume Muhammad (SAW). Sasa jiulize hivi ... ikiwa muongozo wa Allah umekataza mahusiano ya jinsia moja then yule anaye-support yupo katika 'kujisalimisha kwa Allah' ama anafata matamanio yake. Je kweli huyo Muislamu?

Uislamu sio kama kulipia subscription fee ndugu zangu! ... kwamba nikitumia huduma ama nisitumie bado nabakia na haki yangu juu yake. Bali kuwa Muislamu kunatoka katika matendo yako (je matendo yako yana akisi kujisalimisha kwako to the will of Allah?)
 
Hawa ni wauslamu, sio group dogo ni wengi sana. Wengine waliandamana Canada na uarabuni. Mpaka Zanzibar wapo.
Hayo ni mashoga ambayo ni waislam lakini sio waislam wenye kufata mafundisho ya dini ya kiislam.
 
Tunataka kumsikia shehe mkuu akitamka mbele ya msikiti wa Makha kwamba ushoga ni halali,,kama alivyotamka Papa kwamba ushogq sio dhambi kwa ukristo.
Na sio kukodi kigenge cha mashoga kujificha kwenye kichaka cha waislam..

Hao wote sio waislam
 
Tunataka kumsikia shehe mkuu akitamka mbele ya msikiti wa makha kwamba ushogq ni halali,,kama alivyotamka Papa kwamba ushogq sio dhambi kwa ukristo.
Na sio kukodi kigenge cha mashoga kujificha kwenye kichaka cha waislam..

Hao wote sio waislam
Ulaya unadai uhuru wa nini wakati huko baba anaweza kuwa shoga akaja na bwana wake ndani na watoto wana mpongeza, kama huyu waziri wa ulinzi wa UK ni shoga na nchi imefurahi mwanaume kufirwa , huu ushenzi umevuka kiwango

 
Ila ni waislamu mashoga full stop
 
Ila ni waislamu mashoga full stop
Hata wewe unaweza kuvaa kanzu na kujiita muislamu, kama alivyojifanya yule dada mganga aliyojifanya analala na nyoka ,baada ya kubanwa kumbe siyo muislamu ni kutaka kupata wateja tu, tumiaga akili basi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…