ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Ni kafiri muislamu hawezi *****Lakini ni Muilslam?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kafiri muislamu hawezi *****Lakini ni Muilslam?
Wanajitekenya ndio maana wanatumia nguvu kubwa kusafisha hayo mambo ila yapo na yatakuwepo. Sasa kuna movement ya Waislamu kula nguruwe. Hiyo wataipinga.
Huwa mnafurahi sana kuona mtu anayejinasibisha na Uislamu akifanya jambo lisiloendana na Uislamu, eti eenh? hii ni sawa na mTanzania kula mirungi halafu we ukafurahia kuwa sasa waTanzania wamehalalisha mirungi ... mnachokishabikia kinachekesha sana kwa kweli.Wako wapi wafia dini ya kiislam? Ngoja waone dini yao inavyoharibiwa, kutakuwa na uislam wa kimagharibi, uislam uliojazwa mila za kimagharibi
acha uchoyoKwenye kitimoto wazuiane..tukiwa wengi mzigo utaadimika
Hayo ni mashoga ambayo ni waislam lakini sio waislam wenye kufata mafundisho ya dini ya kiislam.Hawa ni wauslamu, sio group dogo ni wengi sana. Wengine waliandamana Canada na uarabuni. Mpaka Zanzibar wapo.
Ulaya unadai uhuru wa nini wakati huko baba anaweza kuwa shoga akaja na bwana wake ndani na watoto wana mpongeza, kama huyu waziri wa ulinzi wa UK ni shoga na nchi imefurahi mwanaume kufirwa , huu ushenzi umevuka kiwangoTunataka kumsikia shehe mkuu akitamka mbele ya msikiti wa makha kwamba ushogq ni halali,,kama alivyotamka Papa kwamba ushogq sio dhambi kwa ukristo.
Na sio kukodi kigenge cha mashoga kujificha kwenye kichaka cha waislam..
Hao wote sio waislam
Hili halijaanza jana wala juzi, ni la siku nyingi sana na wana community zao
"ALLAH LOVES EQUALITY"
Tazama:-
View attachment 3140646View attachment 3140648
Ila ni waislamu mashoga full stopUnawajua hawa au ndio kila kitu ukikiona google unapost tu? Hawa ni group dogo lilionzishwa 2017, kwa ajili ya kuoingana na kanuni za kiislamu.
LInapata support kubwa kutoka kwa wazungu na kupinga sheria za kiislamu , hawa wanatetea haki za ushoga na kwa makusudi wanapinga shwria zoye za kiislamu, kwa kofupi ni moja ya sinema za wazungu katika kupigana na uislamu
Wamechelewa sana maana wao ndio waasisiUislamu ni dini inayokua kwa kasi ulimwenguni, jamii hiyo imefanya maandamano ya amani kuunga mkono ndoa za jinsia moja.
Pichani ni waislamu wa uk wakifurahia mwenendo wa maandamView attachment 3140563
View attachment 3140946
Hakuna muislamu hapoUislamu ni dini inayokua kwa kasi ulimwenguni, jamii hiyo imefanya maandamano ya amani kuunga mkono ndoa za jinsia moja.
Pichani ni waislamu wa uk wakifurahia mwenendo wa maandamano.
View attachment 3140563
View attachment 3140946
Hata wewe unaweza kuvaa kanzu na kujiita muislamu, kama alivyojifanya yule dada mganga aliyojifanya analala na nyoka ,baada ya kubanwa kumbe siyo muislamu ni kutaka kupata wateja tu, tumiaga akili basiIla ni waislamu mashoga full stop
Ndy hao mashoga walioandana kwa kujificha kwenye kichaka cha uislamUlaya unadai uhuru wa nini wakati huko baba anaweza kuwa shoga akaja na bwana wake ndani na watoto wana mpongeza, kama huyu waziri wa ulinzi wa UK ni shoga na nchi imefurahi mwanaume kufirwa , huu ushenzi umevuka kiwango
View attachment 3143335
Yako kwenye pepo yao mashoga huko ulaya, yanafirana bila aibu eti ni haki yaoNdy hao mashoga walioandana kwa kujificha kwenye kichaka cha uislam