ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Hakuna nchi yeyote ya kiislamu utaona hizo takataka za mashoga kuandamana, nyie na wazungu wenu endeleeni kuutanga ushoga na hizo porojo zenuMwanzilishi wa ushoga ni muhammad pale alivyo nyonywa ulimi na mtoto wake.
Kwahiyo hao mashoga wanao andamana huko kwenye hizo free world wewe unaona ni maendeleo?Uislamu unazidi kupoteza nguvu,vimebaki vikundi vichache vya kigaidi na magaidi kila siku magaidi yanauwawa.
Acha kufananisha Uislamu na mashoga wako wa ulaya weweNdiyomaana waislamu wameandamana kudai haki ya kufirwa?
Hao sio waislamu ni mashoga kutoka free Worldsi mlisema wazungu wanajiunga na uislam mkafuhia wakiachana na ukristo, inakuaje wanaufanyia hujuma uislam?
Musiwakatae Waislamu wenzenu kwa sababu ya ushogaHao sio waislamu, ni kikundi cha wahuni ambao wanaeneza propaganda za ushoga kwa mgongo wa dini.
Shoga hawezi kujificha UK, ile ni nchi ya mashoga ndio maana captain wa vilabu vya mpira wanavaa vitambara vya upinde zile tarehe zao za kutukuza ushogaMashoga wa Kiislamu Uingereza wamechoka kujificha wameamua kujitokeza hadharani.
Uislamu ni dini inayokua kwa kasi ulimwenguni, jamii hiyo imefanya maandamano ya amani kuunga mkono ndoa za jinsia moja.
Pichani ni waislamu wa uk wakifurahia mwenendo wa maandamano.
View attachment 3140563
View attachment 3140946
Alauakbaru
Mnapotosha makusudi kwa faida ya nani? Ukristo upi umeruhusu ushoga? Msingi wa Ukristo ni Kristo na sio Papa kwani Papa hana influence yoyote kwenye makanisa mengine zaidi ya Roman peke yake. Na hilo mnafahamu.Usenge utabakia Usenge kitu kilicholaniwa, Dini zote za Kikiristo na Uislam zilikataza kabisa ushenzi huu, ukiristo umejimodify sasa mapadri wasenge wanaruhusiwa. Uislam sheria itabakia hapo hapo mpaka siku ya mwisho.
Ni haki yake sawa na Malaria 2 nyuzi zake nyingi zinaongelea Ukristo. Hivi kwanini kila baya mnalikana na kuusingizia Ukristo na Wakristo?Nyuzi zako nyingi unapenda kuongelea uislamu duh
Povu lipo wapi hapo baba-mwajuma ? Maadili gani hayo yanayoshikiriwa na Waislamu? PumbavuKwa hio inaonekana inawauma sana kuona waisilamu bado wanafuata maadili? Si kwa povu hili.
Wazee wa UNAFIKI kwenye ubora wenu. Mnawakataa wenzenu sio?Uislam ambao umemtaka mwanamke kujistiri,wanaume wawe rijali kwa maana wawaendee wanawake na sio kuwaendea wanaume wenzao au wanawake tofouti na maumbile yao..hicho kitakua kikundi kama vikundi vingine vya hovyo vya kudhalilisha uislam
Wa jf ambao ni vichwa maji. Siwazungumzii wakiristo wa nje jfNi haki yake sawa na Malaria 2 nyuzi zake nyingi zinaongelea Ukristo. Hivi kwanini kila baya mnalikana na kuusingizia Ukristo na Wakristo?
Uislamu unakataza ushoga na kutoa adhabu kali,mbona alitokea mwanamke mmoja aliswalisha mpaka wanaume je ndio uislamu unavyo elekeza hivyo?
Toka lini uislam na ushoga vikaenda sambamba, wambie waende nchi za kislam wakalete ushoga wao huo uone kitakacho wapata. Tatizo wapo kwenye nchi za kikristo huko ndio kuna ushoga lazima na wao wawe mashoga .Allah hajawalinda na Ushoga?!