Jamiiforuma acheni upendeleo kwa Tundu Lissu, najua mnataka awe mwenyekiti wa Chadema jambo ambalo haliwezekani

Ukimaliza hapa nenda na Twitter, uende na Facebook na uende na Whatsapp groups.

Maana huko kote Lissu anavuma.
 
Hasira zimekupanda mfuasi na chawa wa Mbowe, mlioahidiwa maburungutu ya noti kwa Mbowe, mambo yanawaendea ndivyo sivyo?

Mbowe ni mpuuzi, wenye akili timamu tunampuuza kitambo sana huyo chawa na mamluki wa CCM

Kwenu machawa wake mliokosa haya, chama kimekosa mwelekeo bado mnang'ang'ana na mtu anayeishi kwenye karne ya 15 huko?

Shenzi kabisa!
 
Mafia wa Mbowe mtalala na viatu.

Lissu is a proven Inteligent, labda wewe kilaza ndio huelewi
 
Machawa ya mbowe kazini.
 
Wewe liccm, inakuuma nini na haya mambo ya Chadema?
 
Acha upuuzi, ulitaka lissu aminywe na huku? Kasome mitandao inayompa flag mbowe ipo mingi
 
Hakuna upendeleo wowote ,hii ni ari halisi watanzania wengi wanampenda Tundu Lissu,hanaga kona kona kabisa ndio kiongoz anatakiwa awe hvyo ingawa Lissu ana mapungufu yake ila ni machache
 
Ukisikia upumbavu na Nusu ndo huu Sasa. Yaani wewe lipumbavu na nyongeza. Onyesha Uzi ulioanzisha ukafutwa Kenge wa Kimbiji wewe.
 
Zero Brain. Jamii Forum wanahusikaje. Siyo jamii forum, bali ni wananchi na wanachama wengi wa JamiiForum wanamkubali.

Ndyo maana unaona nyuzi nyingi huku JF zipo zaidi upande wa Kissu.
 
Tatizo mmezoea uongo uongo na Lissu ni kama Trump hapepesi macho wala uongo uongo wa kupooza maneno ndio manaa waoga waoga na establishment hawawezi mpenda ila sisi ambao tunataka active politics yeye ndio anatufaa kwa sasa maana ni msafi na nia na dhamira yake ni safi. Atakuwa threat sana kwa campaign za 2025 na kurudisha ile amsha amsha ya M4C miaka ya 2008-2013.
 
Kwani wewe uliwahi kupandisha uzi wa bwanako Sultan Mbowe mods wakaufuta? Na jee moderators ndiyo wanaanzisha hizo nyuzi za Lissu humu? Madai yako hayana mashiko ni kama mumetoka kupiga konyagi na Sultan ndiyo ukaandika huu uzi.
 
Chawa wa Mbowe mumevurugwa mbaya.
 
Mabwabwa ya ccm na makengeza mbowe aka ayatollah mpaka mpige ndulilu ndio lissu awaache.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…