Hali hii huwezi kuepukana nayo, labda kupunguza tu spidi ya kuingia JF, lakini kuepuka haiwezekani....umepungua sana, wkt mwingne unashndwa kufikiria vitu vya maana unafikia tu jf. yan me wakat mwngne najichukia nlivo addicted na jf cjui nifanyeje kuepukana na hii hali. . .
umepungua sana, wkt mwingne unashndwa kufikiria vitu vya maana unafikia tu jf. yan me wakat mwngne najichukia nlivo addicted na jf cjui nifanyeje kuepukana na hii hali. . .
haiwezekan kwa sababu nina access ya internet kwenye cm. hadi naichukia cm sasa, make ningekuwa cna access ya net kwny cm ningeweza kupunguza speed ya kuingia jf. . .
Jf...! Hureeee bingwa oyaoya
oyaoya kaa ukijua starehe gharama....
Gharama ni nini bana,
watu wananunua maviex wewe unasema gharama.
Tu wapenzi toka siku nyingi.Filipo na mimi ntakutafta mana watu km wewe ni wachache ambao huwa hawaangalii gharama. pesa makaratasi tu. . .
Mashariki ni moja ya pande nne za dunia
gharama huwa hatuangalii siku za wiki end!
oyaoya kaa ukijua starehe gharama....
Tu wapenzi toka siku nyingi.
Bahari ya Shamu, ni bahari yenye historia, ilijigawa vipande viwili katikati pakabaki pakavu wana waisrael wakapita halafu ikawameza wamisri.hazihesabiki kama mchanga wa bahari. . .