Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😄😃😃Dah hiyo nayo ni kazi sana 🤣🤣🤣
Nakumbuka hata Mimi kuna kipindi nilikuwa na I'd ya kike nilikuwa nawaendesha sana aisee but at that nilikuwa 25 but today 35+ siwezi kuwa na ujinga kama ule
kwamba yule demu alie kuanzishia uzi umekutana nae nakumgonga?😕😕😕😕😕😕😕Mnavutia,mnajua kuvaa, shape mnazo na hakuna mwenye komwe!.
Mmebarikiwa mno!, mna mioyo mizuri kiufupi mmetaradadi!.
Nawapenda sana wadada wa jamiiforum mbarikiwe maradufu.
Enjoy
View attachment 3195978
Lakini Pisi za maana zipo bhana 😃😃😃😀😄😃😃
Wachache sana kakaLakini Pisi za maana zipo bhana 😃😃😃
wewe na nifah humu ndio mabaya tuuHawa hawa mnaowaita mabibi na mashangazi au kuna ingizo jipya la madada Jamii Forums??
Kuna mdau mmoja kasema kuna jimbo unafukuzia, si kwa sifa hiziTena wewe wajua kabisa ulivyouteka moyo wangu...😅
Huu mtego tumeukataa!Mnavutia,mnajua kuvaa, shape mnazo na hakuna mwenye komwe!.
Mmebarikiwa mno!, mna mioyo mizuri kiufupi mmetaradadi!.
Nawapenda sana wadada wa jamiiforum mbarikiwe maradufu.
Enjoy
View attachment 3195978
Hakika japo kuna Pisi moja humu mtandaoni ilikuwa inaji brand nikajua duh hii ni level za Mobetto siku ya kuona a nayo aisee nikasema siiamini tena mitandaoWachache sana kaka
Naunga mkono hoja.Hakuna dem humu ndg yangu.. na kuna Mijamaa ina account mbilimbili moja ya kike nyingine ya kiume sasa jichanganye..
Pisi kali.. za 2000 na Jf ni maji na mafuta.
Huu uzi bila picha ni kama movie ya Van Damme afu tunasikia tu sauti hakuna picha!Mnavutia,mnajua kuvaa, shape mnazo na hakuna mwenye komwe!.
Mmebarikiwa mno!, mna mioyo mizuri kiufupi mmetaradadi!.
Nawapenda sana wadada wa jamiiforum mbarikiwe maradufu.
Enjoy
View attachment 3195978
yule demu ushaa mgonga?vyovyote utakavyoamua kunena! mi nimesifia wadada wa jf!