JamiiForums ina Wadada wazuri sana!

JamiiForums ina Wadada wazuri sana!

Mkuu humu kuna wengine ***** zao Sasa nikupe kuna fala moja alinipa Namba yake nikajua manzi kupiga simu kapokea mwana kupokea tu akarusha matusi 🥶
Nikaona isiwe kinyonge nikamute siku ya siku tena kashusha uzi ooh sijui Ana tatoo makalioni nikampa fucker zake akashtaki kwa mods nikapgwa toka mwez wa 12 had 4th January
 
Mkuu humu kuna wengine ***** zao Sasa nikupe kuna fala moja alinipa Namba yake nikajua manzi kupiga simu kapokea mwana kupokea tu akarusha matusi 🥶
Nikaona isiwe kinyonge nikamute siku ya siku tena kashusha uzi ooh sijui Ana tatoo makalioni nikampa fucker zake akashtaki kwa mods nikapgwa toka mwez wa 12 had 4th January
mi mbona sikutani na vibweka hivi..🤣
 
Back
Top Bottom