Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeupenda wimboMnavutia,mnajua kuvaa, shape mnazo na hakuna mwenye komwe!.
Mmebarikiwa mno!, mna mioyo mizuri kiufupi mmetaradadi!.
Nawapenda sana wadada wa jamiiforum mbarikiwe maradufu.
Enjoy
View attachment 3195978
Huo ni uongooo!shida mmeshazoea kupondwa mawe kila siku, siku mkipambwa maua mnaona ajabu shida nini..?
sasa wewe espy si kibibi wewe?Huu mtego tumeukataa!
Ndio ndio mjukuu.sasa wewe espy si kibibi wewe?
Kuna mmoja nilimfata na Id yangu Moja hivi alipanga tukutane kariakoo kumbe kidume humu ni kuwa makini sanaHakika japo kuna Pisi moja humu mtandaoni ilikuwa inaji brand nikajua duh hii ni level za Mobetto siku ya kuona a nayo aisee nikasema siiamini tena mitandao
Nakupongeza sana financial servicesMnavutia,mnajua kuvaa, shape mnazo na hakuna mwenye komwe!.
Mmebarikiwa mno!, mna mioyo mizuri kiufupi mmetaradadi!.
Nawapenda sana wadada wa jamiiforum mbarikiwe maradufu.
Enjoy
View attachment 3195978
Ntumie PM na majina yao 1 hadi 10kuweka picha ya mtu pasipo ridhaa yake ni kinyume na sheria za jf
Kuna mtu alikuwa ananiosha nywele bafuni nikamuimbia hiyo "every morning she shampoos my locks" 😘😘Mnavutia,mnajua kuvaa, shape mnazo na hakuna mwenye komwe!.
Mmebarikiwa mno!, mna mioyo mizuri kiufupi mmetaradadi!.
Nawapenda sana wadada wa jamiiforum mbarikiwe maradufu.
Enjoy
View attachment 3195978
tokalini bibi akawa mzuri?acha umalaya bibianguNdio ndio mjukuu.
siku nikikukamata nakubak unalinga sana wewe shangazi la jfHaiombwi hivyo
Dah aiseeKuna mmoja nilimfata na Id yangu Moja hivi alipanga tukutane kariakoo kumbe kidume humu ni kuwa makini sana