financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Ahsante mkuu, ila mimi ni mbovu sana😀😀Nakupongeza sana financial services
Atujaonana lkn regardless utakua mzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante mkuu, ila mimi ni mbovu sana😀😀Nakupongeza sana financial services
Atujaonana lkn regardless utakua mzuri
Mkuu Tumwesige senior ninachokijua ni kuwa mwanamke mzuri kisura hapa JF ni Yule ambaye haelewi nyuzi za nzito za huku JF kama zile za Mshana Jr, Robert Heriel Mtibeli, Kiranga, Pascal Mayalla, Tumwesige senior, Monetary doctor na badala yake hukimbilia zile nyuzi nyepesi mithili ya karatasi zitolewazo na akina Lucas Mwashambwa na fimboyaukwaju, johnthebaptist.Mkuu secretarybird una maoni gani kuhusu uzi huu,tia neno
mbaya hajisemiAhsante mkuu, ila mimi ni mbovu sana😀😀
fimboyaukwaju bo ya ukwaju sii mzee huyu 😂 😂 atoke humuMkuu Tumwesige senior ninachokijua ni kuwa mwanamke mzuri kisura hapa JF ni Yule ambaye haelewi nyuzi za nzito za huku JF kama zile za Mshana Jr, Robert Heriel Mtibeli, Kiranga, Pascal Mayalla, Tumwesige senior, Monetary doctor na badala yake hukimbilia zile nyuzi nyepesi mithili ya karatasi zitolewazo na akina Lucas Mwashambwa na fimboyaukwaju, johnthebaptist.
Hivyo basi kutokana na maelezo hapo juu unaweza kumtambua mwanamke mwenye Sura nzuri humu JF kwa kuangalia mada anazozikimbilia.
Ni hivyo.
Nakubaliana na ww mkuu na ata ukiwakuta hao wanawake ni wale sura ya baba (wenye sura ngumu)Hakuna dem humu ndg yangu.. na kuna Mijamaa ina account mbilimbili moja ya kike nyingine ya kiume sasa jichanganye..
Pisi kali.. za 2000 na Jf ni maji na mafuta.
Why not mkuu najijua siyo mzuri😒mbaya hajisemi
Ningeringa! Ningepeleka kitanda changu magogoni pale najua wasingenifukuza. 😂Uko sahihi mkuu, na imagine shangazi yangu binti kiziwi ali kuwa hivi ujanani😊
View attachment 3195985
Asante mkuu secretarybird kwa kutujuzaMkuu Tumwesige senior ninachokijua ni kuwa mwanamke mzuri kisura hapa JF ni Yule ambaye haelewi nyuzi za nzito za huku JF kama zile za Mshana Jr, Robert Heriel Mtibeli, Kiranga, Pascal Mayalla, Tumwesige senior, Monetary doctor na badala yake hukimbilia zile nyuzi nyepesi mithili ya karatasi zitolewazo na akina Lucas Mwashambwa na fimboyaukwaju, johnthebaptist.
Hivyo basi kutokana na maelezo hapo juu unaweza kumtambua mwanamke mwenye Sura nzuri humu JF kwa kuangalia mada anazozikimbilia.
Ni hivyo.
Pamoja mkuu Tumwesige senior.Asante mkuu secretarybird kwa kutujuza
hiyo rangi + urefu ndo ugonjwa wangu😃😊.Ningeringa! Ningepeleka kitanda changu magogoni pale najua wasingenifukuza. 😂
Rangi sawa, Urefu ni uongo. Mi kafupi fupi.hiyo rangi + urefu ndo ugonjwa wangu😃😊.
Hahaha kwanini magogoni??, kisa jumba jeupe??.
Uzuri upo machoni mwa muonaji, ambia mchumba arefuke 😊😃Rangi sawa, Urefu ni uongo. Mi kafupi fupi.
😄😄😄😄😄 We ngoja kuna siku tamchoma humu...Poor Brain ant Dorry anatumia id gani??
Tufupi fupi ndo napendaga binti kiziwiRangi sawa, Urefu ni uongo. Mi kafupi fupi.
Wazuri hua wanajishusha na wabaya hujikweza. My dream nikuonee, utakua mzuri in your own wayAhsante mkuu, ila mimi ni mbovu sana😀😀