JamiiForums na FikraPevu, walaani nguvu inayotumika kuzuia uhuru wa maoni

JamiiForums na FikraPevu, walaani nguvu inayotumika kuzuia uhuru wa maoni

aisee!! unafanya nini humu mkuu? ebu kuwa mtu mzima

tatizo lako unataka chochote kiandikwe na kupostiwa??

hauko fair

JF hawako biased wala upande wowote na wamethibitisha hilo kwa kuvamiwa

hoja yako haina mashiko, unaonekana uko nyuma ya wakati au hauoni reality

Tunajuaje kwamba hii si danganya toto tu? Tusiwe naive hivyo. Jamiiforums ni biashara, na ukishaingia kwenye biashara bottomline ni faida. Hebu tujulize kwa nini waliowa-hack walisubiri mpaka baada ya mshindi kutangazwa, ndiyo wawa-hack?
 
Nakumbuka siku Magufuli anakabidhiwa cheti cha ushindi Kikwete alijisifia kuwa ushindi huu haukuwa rahisi kwani tulipambana sana ardhini, angani kwenye mitandao na kwenye mitambo yote ya mawasiliano, kwa kauli hii ni wazi wahusika wa uhalifu huo kiongozi wake amejipambanua kwa uwazi pasipo kutilia shaka.
 
Walitunga sheria ya kikolon bado tu hawalidhiki
 
Na nyie muwe mnaheshimu uhuru wa watu wa kutoa maoni badala ya kufutafuta posts za watu.
 
Nadhani kukamatwa kwa vijana wa IT, kuvamia ofisi za LHRC na JF kuwa hacked vina uhusiano kukiwa na lengo la kuzuia jamii kupata taarifa huru kinyume na zile za NEC.

Kwa upande mwingine sioni kwa nini niwape pole maana mlionekana mko upande wa team 'nchi haitolewi kwa karatasi' ndio mjitambue sasa.

Kuwapa pole hawa ndugu zetu wa JF ni sawa na kushangilia kubanwa kwa uhuru wa watu kutoa maoni. Maana nao kwa kudiliti vipost vyetu tu hawana tofauti na ha hackers.
 
Kujipendekeza kwenu kipindi cha kampeni kumewa-cost.


The issue is not to talk. about the attacks now since have already happenned and I for 1knew it when I logged in JF then na hata. juzi ilikuwa ivo.

Sasa basi kwakuwa tunajua ukweli, je kama taifa la JF tunalifumbia macho ili swala au tunachua hatua gani. we MUST KNOW THE DEVIL BEHIND AND DEAL WITH IT BY ANY MEANS!!!!
 
Ni kweli kabisa na inawezekana walioshambulia wamo humu humu JF.Kijana mmoja a genius(in IT)ambaye alikuwa mmoja wa washambuliaji, alinieleza jana jinsi walivyotumiwa kwa ajili ya ku-rig uchaguzi na kuhujumu JF.Walikuwa wanalipwa take home kwa siku T.sh1,000,000, everything else paid.Ni umafia kabisa,there is no other word you can describe the nature of the action.

Mkuu inasikitisha sana.Watu wamehaidiwa mambo makubwa pamoja na kulipwa hizo per diem za kufuru.Mbaya zaidi ni they are talking.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa jamii forum ni mahali mahususi pa kupata taarifa za haraka.

Tunaungana nanyi ktk kuulaani uharamia huo. Kwa kuwa mnajua mnawindwa badilisheni mbinu zenu za kujihami.

Nawatakia kila la heri Jamii forum na watumiaji wote wa mtandao huu.

Poleni sana .Lakini mmeonyesha umahikili katika IT.Si dhani kama watarudia tena.
 
Poleni ,lakini mmeonyesha ukomavu katika IT.Tunawaunga mkono .
 
Poleni ,lakini mmeonyesha ukomavu katika IT.Tunawaunga mkono .

Unafikiri wao. Hao wametoa hela za kutosha kununua softwares na kuajiri wahindi wakuwasaidia. IT JF uelewa wao upo chini sana walifikiri kuopt for SUCURI ingewasaidia poor them. They need to shift server zao to russia, turkey, iran na sehemu ambazo mpaka uingilie mifumo yao inatakiwa uwe genius. Wajifunze kwa wikileaks
 
Tunakundi kubwa la watu ambao hawawezi kuona yanayoendelea lakini nchi hii kunakundi la watu ambalo limejipanga kuendelea kuwafanya watanzania kuwa wajinga kwa kupinga na kuzuia vyanzo mbalimbali vya habari ili watu wasijue nini kinacho endelea! kama mtu makini utakumbuka matamko mbalimbali yaliyotolewa kuzuia vyombo vya habari kuruhusu watu furani kuvitumia ili kutoa maoni yao, kwamba oooh! hao msiwaruhusu sababu ni wendawazimu wataweza kutangaza habari ambazo zitasababisha uvunjifu wa amani! my poor nation! wavunje amani wao wataishi wapi?? uongo tu huo!!!!!

huko ni kuleta hofu na kuathiri watu kisaikolojia. siwezi kushangaa kwamba walitamani hata Forum hii tunayoitumia isiwepo!!
Hongereni sana wakuu kwa kujitahidi kadri mlivyo weza kupambana na hatimae kushinda!
 
Waha jamaa wenye macho madogo ni hatari duniani,
 
A simple excuse, for reconciliation.
 
Back
Top Bottom