JamiiForums Shinyanga wing: Ingia humu tujuane

Mie nimezaliwa huko nimekulia huki piaa wilaya ya Kishapu,,ila kwa sasa nipo Mwanzaa baba yangu yupo huko na muda si mrefu ntakua Shy
 
Hii ni kwa wana jamiiforums waliopo Shinyanga tu.. please karibu humu tujuane.. na tuweke mkakati wa kuitangaza JF Shy!!
vp sie wa maswa bariadi meatu nakahama haituhusu...?
 
Karibuni Talaga, ukipita Ngunga unafika au ukizungukia Ukenyenge wakuu basi pita bulimba then huyo Nhobola.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…