JamiiForums Usiku wa manane

[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] Tayari kashakuchukua

ila hiyo hainipi shida sana Babe wangu Neybright namuamini ananiamini na pia Kichwa kichafu msela wangu wa nguvu hawezi kunisaliti kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan rafiki yangu umenishinda tabia, sio kwa umbea huo. Ila baby wangu ananiamini kama mimi ninavyomuamini sidhani kama atafikiria vibaya.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] Tayari kashakuchukua

ila hiyo hainipi shida sana Babe wangu Neybright namuamini ananiamini na pia Kichwa kichafu msela wangu wa nguvu hawezi kunisaliti kabisa
Mmmh! Kweli umenishushua na umbea wangu....mi ilitaka niwagombanishe....[emoji23] [emoji23] [emoji23] aaah we nawe bwana!
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] Tayari kashakuchukua

ila hiyo hainipi shida sana Babe wangu Neybright namuamini ananiamini na pia Kichwa kichafu msela wangu wa nguvu hawezi kunisaliti kabisa
Mkuu mbona hujatualika hii ndoa au mimi ndo sijaalikwa?

Nimeona tu paaaap ni ma beby tutambulishane basiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…