Humu ndani mmenishinda tabia inabidi niachane na suala la kushtaki watu maana naona nitazidi kupoteza memba hapa...
Inna na dingimtoto wameenda tRNA kuchaji simu zao [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Wewe na mshiki wako nimewaona mkiitana nanyi mkachaji zenu [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Neybright na Kichwa Kichafu wametekana [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Manta ML na Maserati wanaogopa baridi [emoji18] [emoji18] [emoji18]
No Escape na alibakari wamesusia zamu niliyowapangia [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Basis bwana Mimi huku ndani sitasema nanyi tena nafunga mdomo wangu rudini [emoji40] [emoji40] [emoji40]