[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hakika Mwifwa ni mwl.bora wa jf usiku wa manane .....Imagine umenisaidia nimeweza
Njoo uthibitishe hili dai lako mbele ya Joseverest [emoji40] [emoji40] [emoji40]Hahaha naona umeamua kupiga U-turn ya ghafla, wacha nilipe tu ada kuliko nikakaa na hunter chumba kimoja cha darasa,[emoji40]
We huoni hunter mwenzake anavyougulia maumivu baada ya kugundua Shem, Shem kumbe wazima taa.[emoji40][emoji125]
Nikikuonjesha utabadilisha kabila bure....utataka uwe wa kabila langu wakati kabila langu tumejaa mpaka tunauzana ili tupungue kidogo [emoji12] [emoji12] [emoji12]Hahaha, wacha weeh, nionjeshe basi na mimi hiyo nyama ya ulimi, angalau kakipisi kadogo tu[emoji85] [emoji85] [emoji125]
Tuache tupambane na hali zetu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] naona mnafundishana twisheni na jje's
Haswaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hakika Mwifwa ni mwl.bora wa jf usiku wa manane .....
Hakika hili nililifanyia kazi, sasa hivi hakuna mwenye kumtamani mwenzie....hata mke na mume hawatamaniani tena hapa [emoji12] [emoji12] [emoji12]Amen, amen, amen.
Na maombi yafanyike kwa ajili ya wote, zaidi kwa walio wachochezi na wenye tamaa kwa wake/waume wa jirani zao.[emoji120] [emoji125]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Gnyto ohoooo
Natamani mwl.wangu Nleterewa Nganengo angekuwa na kipawa cha kufundisha kama wewe....[emoji144] [emoji144] [emoji144]Tuache tupambane na hali zetu.
Hii kitu [emoji310] si ya mchezo mchezo
Mwambie aje akopi na kupesti atawezaNatamani mwl.wangu Nleterewa Nganengo angekuwa na kipawa cha kufundisha kama wewe....[emoji144] [emoji144] [emoji144]
Tunaserebukia nini na wapi? Tumbo halitaniwi [emoji39] [emoji39] [emoji39]Welaaa! welaaaaa! mida ya wachache jamanii. ThAD, jJe'S, sAKayO, maSERAtI, kichwa kichafu, njoooooni tuserebuke jamani!
Ohoooo! Wacha nilale zangu kumbe niko na watu wanaoshabikia mashetani wekundu? [emoji57] [emoji57]Papichulo hapa tunasheherekea ushindi wa man utd we are heading to east 24
Hawezagi namjuaMwambie aje akopi na kupesti ataweza
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Ohoooo! Wacha nilale zangu kumbe niko na watu wanaoshabikia mashetani wekundu? [emoji57] [emoji57]
Vp na wewe washabikia mashetani nini?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Acha ukorofi ThaD jamani. Hii ni mida takatifu kwetu. Njoo ngomani tucheze!Tunaserebukia nini na wapi? Tumbo halitaniwi [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Hamna linaloshindikana ukiamuaHawezagi namjua
Mimi nilikuwa mshabiki miaka ya nyuma sasa hivi nishaacha hata wachezaji wa dot.com siwajua, nimebaki kuwajua Messi na Cristiano Ronaldo na wengine wachacheVp na wewe washabikia mashetani nini?
Chunga tamaa mbaya[emoji445] [emoji445] [emoji441]Nisipokukumbuka wewe shemeji yangu nitamkumbuka nani?
(zaidi nilimiss lile pochi lenye karatasi nyekundu ulilonioesha siku ile [emoji39] [emoji39] [emoji39])
Vp lakini mbona umekuja peke yako, Neybright na jirani yake Kichwa Kichafu umewaacha wapi?
Bila shaka una unasaba na wale jamaa waliogawa kondomu kwa watz wenye njaa zao,tutachezaje ili hali matumbo yameangukia migongo? Huoni sikuhizi hata bundi muasisi No Escape haonekani hapa? Njaa inatulaza mapema siku hizi [emoji23] [emoji23] [emoji23]Acha ukorofi ThaD jamani. Hii ni mida takatifu kwetu. Njoo ngomani tucheze!