JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Mimi sijawahi kuishabikia Arsenal ila nimekutolea tu mfano jinsi ilivyokuwa tishio enzi zile.

Nakumbuka 2006 ilicheza fainali ya UEFA dhidi ya Barcelona, mtanange ulikuwa ni wa kukatana na shoka kweli kweli japo Arsenal ilishindwa.

Nadhani toka kipindi hicho ndio mambo yakawa yanaenda mrama hadi leo hii.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] kumbe una kumbukumbu nzuri.

nakumbuka hiyo mechi ilikuwa ya kukata na shoka. Kwa mara ya kwanza nilienda kuishuhudia pale uwanja wa taifa
 
Bila shaka unakunywa balimi ya 12 ndio maana umeweza kutupiamo ka brokeni inglish [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nitake radhi tafadhali, ujue Niko kwenye mfungo wa majilio, ila sio kesi nishakusamehe.
Kesheni mkiomba kwa maana hamjui siku wala SAA atakapokuja mwana wa adamu.[emoji125]
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] kumbe una kumbukumbu nzuri.

nakumbuka hiyo mechi ilikuwa ya kukata na shoka. Kwa mara ya kwanza nilienda kuishuhudia pale uwanja wa taifa
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Lol!

Mimi niliishuhudia kwenye uwanja wa nyumbani kwenye TV
 
Inatakiwa tuwachanganye ili akili zao zichanganye tupate akili moja iliyo bora halafu tutawagawia wote tena
Ohoooh, ukitaka darasa liwe kama Somalia, waweke sehemu moja mkuu, alafu Thad bila bakora haelewi kabisa lakini jje's kidogo ni mtulivu wala haitaji bakora[emoji125]
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] kumbe una kumbukumbu nzuri.

nakumbuka hiyo mechi ilikuwa ya kukata na shoka. Kwa mara ya kwanza nilienda kuishuhudia pale uwanja wa taifa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hii bila shaka ni bombadia ya 12 ya offer imeongea sio wewe[emoji41] [emoji12]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja nikuandalie mlungula ili siku ya kutugawia hizo akili mimi unipe nyingi( 3/4) na jje's umpe ndogo (1/4)
Hahaha nikafikiri na kukaa kote boarding mirembe tunakusaidia kumbe ndo tumekupoteza kabisa, si umesema wivu umeisha kitambo huu sasa umetokea wapi?[emoji57] [emoji125]
 
Siku nikipata mwl.mpya nitaenda bbc kutangaza madhaifu yako yote....we subiri tu [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Ohoooh huku tumefika mbali sana, basi tufanye kesho uwahi darasani kuna zawadi yako nzuri nimekuandalia[emoji39]
Wewe nae hutaniwi[emoji12] [emoji125]
 
Back
Top Bottom