Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,316
Sio vya kawaida mkuu, ngoja nitakukabidhi, angalau kwa muda[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Huyu Pupil ana vituko
Bila shaka unakunywa balimi ya 12 ndio maana umeweza kutupiamo ka brokeni inglish [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hello kiswahili kwangu inaleta problem, at least chagga naijua kidogo[emoji125]
Inatakiwa tuwachanganye ili akili zao zichanganye tupate akili moja iliyo bora halafu tutawagawia wote tenaSio vya kawaida mkuu, ngoja nitakukabidhi, angalau kwa muda
Angalizo:- Usiwachanganye darasa moja na jje's.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] kumbe una kumbukumbu nzuri.Mimi sijawahi kuishabikia Arsenal ila nimekutolea tu mfano jinsi ilivyokuwa tishio enzi zile.
Nakumbuka 2006 ilicheza fainali ya UEFA dhidi ya Barcelona, mtanange ulikuwa ni wa kukatana na shoka kweli kweli japo Arsenal ilishindwa.
Nadhani toka kipindi hicho ndio mambo yakawa yanaenda mrama hadi leo hii.
Nitake radhi tafadhali, ujue Niko kwenye mfungo wa majilio, ila sio kesi nishakusamehe.Bila shaka unakunywa balimi ya 12 ndio maana umeweza kutupiamo ka brokeni inglish [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa mara nyingine unanigawa bure sio?Sio vya kawaida mkuu, ngoja nitakukabidhi, angalau kwa muda
Angalizo:- Usiwachanganye darasa moja na jje's.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Lol![emoji122] [emoji122] [emoji122] kumbe una kumbukumbu nzuri.
nakumbuka hiyo mechi ilikuwa ya kukata na shoka. Kwa mara ya kwanza nilienda kuishuhudia pale uwanja wa taifa
Siku nikipata mwl.mpya nitaenda bbc kutangaza madhaifu yako yote....we subiri tu [emoji40] [emoji40] [emoji40][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naona dalili za mtu kupata Mwl mpya, kweli dalili ya mvua ni mawingu meusi[emoji40] [emoji125]
Ohoooh, ukitaka darasa liwe kama Somalia, waweke sehemu moja mkuu, alafu Thad bila bakora haelewi kabisa lakini jje's kidogo ni mtulivu wala haitaji bakora[emoji125]Inatakiwa tuwachanganye ili akili zao zichanganye tupate akili moja iliyo bora halafu tutawagawia wote tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji122] [emoji122] [emoji122] kumbe una kumbukumbu nzuri.
nakumbuka hiyo mechi ilikuwa ya kukata na shoka. Kwa mara ya kwanza nilienda kuishuhudia pale uwanja wa taifa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja nikuandalie mlungula ili siku ya kutugawia hizo akili mimi unipe nyingi( 3/4) na jje's umpe ndogo (1/4)Inatakiwa tuwachanganye ili akili zao zichanganye tupate akili moja iliyo bora halafu tutawagawia wote tena
Eti Thad, ni kweli bila bakora Irabu hazipandi kwa kichwa chako?Ohoooh, ukitaka darasa liwe kama Somalia, waweke sehemu moja mkuu, alafu Thad bila bakora haelewi kabisa lakini jje's kidogo ni mtulivu wala haitaji bakora[emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja nikuandalie mlungula ili siku ya kutugawia hizo akili mimi unipe nyingi( 3/4) na jje's umpe ndogo (1/4)
Hivi ulikumbuka kusoma mkataba vizuri, Ada hairudishwi hata kwa mtutu[emoji42]Kwa mara nyingine unanigawa bure sio?
Nirudishie ada niliyokulipa,nikajitafutie mwl mwenyewe [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Hahaha nikafikiri na kukaa kote boarding mirembe tunakusaidia kumbe ndo tumekupoteza kabisa, si umesema wivu umeisha kitambo huu sasa umetokea wapi?[emoji57] [emoji125][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja nikuandalie mlungula ili siku ya kutugawia hizo akili mimi unipe nyingi( 3/4) na jje's umpe ndogo (1/4)
Ingependeza zaidi kama ungemwongezea na ile adhabu ya kichura chura komredi[emoji40] [emoji125]Eti Thad, ni kweli bila bakora Irabu hazipandi kwa kichwa chako?
Sasa kama mwenyewe ana Chura, atarukaje kichura?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Ingependeza zaidi kama ungemwongezea na ile adhabu ya kichura chura komredi[emoji40] [emoji125]
Ohoooh huku tumefika mbali sana, basi tufanye kesho uwahi darasani kuna zawadi yako nzuri nimekuandalia[emoji39]Siku nikipata mwl.mpya nitaenda bbc kutangaza madhaifu yako yote....we subiri tu [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Hahaha, Mh Bundi Thad majibu tafadhali[emoji40] [emoji125]Sasa kama mwenyewe ana Chura, atarukaje kichura?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji120] [emoji120] [emoji120] Sawa baba mchungaji!Nitake radhi tafadhali, ujue Niko kwenye mfungo wa majilio, ila sio kesi nishakusamehe.
Kesheni mkiomba kwa maana hamjui siku wala SAA atakapokuja mwana wa adamu.[emoji125]