Daktari ametushauri ili kulinda Afya zetu vyema tuwe tunaenda hayo maeneo kwaajili ya kuosha macho πHahahahaha..hayo maeneo muzee hakai ..ila nakuelewa...nilisoma Russia na Algeria..na sio Cuba
Hakika ardhi ni mali naona vijana wa zamani waliowekeza kwenye ardhi wanafaidi uwekezaji wao.Ardhi pekee ndiyo huwa haishuki thamani
Kiwanja kinachouzwa Kigamboni 15M leo hii, baada ya miaka 20 mbele kinaweza kuuzwa 100M
Kama umri wako una ruhusu, usiache kuwekeza kwaajili ya Uzee wako
Sisi wengine tumebaki kuwategemea Wajukuu Kwa Kila jambo maana hatukujipanga enzi za Ujana wetu π
Kweli MkuuHakika ardhi ni mali naona vijana wa zamani waliowekeza kwenye ardhi wanafaidi uwekezaji wao.
Hiyo haya ya mwisho ndio ya kuzingatia πKweli Mkuu
Kama una nafasi Jenga nyumba za Kupangisha za kutosha tu
Ukifika Uzeeni hutahitaji kuwasumbua watoto wako wakutumie hela ya Matumizi.
Utajikuta unapata meseji Kila Mwezi za wapangaji kukutumia Kodi zako tu
Wakati huo utakuwa unacheza golf na Wazee wenzako viwanja vya Gymkhana huku unakula totozi moja ya viwango kutoka hapo IFM π
Tafadhali usiizingatie hiyo Aya ya mwisho nimeandika kuchagiza tu π
Hahahahahaha sawa sawqDaktari ametushauri ili kulinda Afya zetu vyema tuwe tunaenda hayo maeneo kwaajili ya kuosha macho π
Kile Kiwanja hakina fujo ndiyo maana kinatufaa WazeeHahahahahaha sawa sawq
Hahaha.......kama ni hivyo ongeza juhudi kuzisaka hela maana hayo mambo yanaenda sambamba π€Hiyo haya ya mwisho ndio ya kuzingatia π
Navopenda totoz ngoja nizisake kwanza.
Tuombe uzima mpambano n mkaliHahaha.......kama ni hivyo ongeza juhudi kuzisaka hela maana hayo mambo yanaenda sambamba π€
All the best Young Man πππͺTuombe uzima mpambano n mkali
Thank you Mr old man, God bless you.All the best Young Man πππͺ
ππThank you Mr old man, God bless you.
Nipo getini hapapitiki hadi saa 6[emoji102]
Usiongeze bia nyingine we joblessFuture billionaire Nime wasili