JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

most frequently used
IMG_3759.png
 
Huwa nawaza matajiri Wana lalaje??, hasa wale wenye umoja.
Maana- Kuna kusalitiana, kuibiwa na Hata kufanyiana umafia mwingine.

mfano Mimi huwa nawaza kila Jambo ninalo fanya, from the first to the last process.
Siku Niki zishika SI ndo nita wa hack watu ili niwe na over see kila wanacho fanya 😂😀
Principal inayotumiwa kwenye joint venture business ni kuto-aminiana isipokuwa Kwa written docs ambayo itawa-guide kwamba nani ana nini na yupi ameweka nini kisheria.

Ikitokea mmoja amefariki basi Mkataba utawaongoza kwenye kugawana Kwa mujibu wa shares
 
[emoji445][emoji445][emoji444] utani kama utani tulianza kimasihara sikudhani sikudhani yatafikia mahala akiwa hapatikani hapaliki sijalala kanifanya kitu gan mbon imekua imara..... tukikoswa stuli ni sunna kula kweny mkeka,, unijue vizuri nikinuna mie ndo nadeka[emoji23] usije dhani kiburi uniache nikaja kuchekwa[emoji2960][emoji2957][emoji444][emoji444]0100
Kama kupitia hiyo nyimbo Mkwe hajakuekewa basi mtume njiwa akupelekee hizo salamu 🤗

01:56AM
 
Principal inayotumiwa kwenye joint venture business ni kuto-aminiana isipokuwa Kwa written docs ambayo itawa-guide kwamba nani ana nini na yupi ameweka nini kisheria.

Ikitokea mmoja amefariki basi Mkataba utawaongoza kwenye kugawana Kwa mujibu wa shares
Namaanisha Hawa matajiri huwa Wana jilinda vipi, imagine u a Anza ingiza 10 m per day.
Hauwezi windwa na maadui??,

Security ya watoto na familia Ina kaa vipi??, Mimi nilipo hata mtu aki pita mbali na kwangu najua 😂😀
 
nimemtuma njiwa ila ameliwa yeye na salam nilizo zituma[emoji17][emoji23]
Hahaha ......pole sana Mjukuu

Nina njiwa wangu namkodisha, fanya kunitumia maokoto nikukodishie umtume huko

Uzuri wa huyu njiwa wangu, anajua kusoma hivyo akifika eneo la tukio ni anasoma ujumbe chapu na haraka kabla hajapigwa manati 😜
 
Namaanisha Hawa matajiri huwa Wana jilinda vipi, imagine u a Anza ingiza 10 m per day.
Hauwezi windwa na maadui??,

Security ya watoto na familia Ina kaa vipi??, Mimi nilipo hata mtu aki pita mbali na kwangu najua 😂😀
Matajiri wengi wanatunza fedha zao Benki

Ni wachache sana ndiyo hukaa na Fedha ndani

Ulinzi upo, ule unaonekana Kwa macho na ule mwingine 😅
 
Hahaha ......pole sana Mjukuu

Nina njiwa wangu namkodisha, fanya kunitumia maokoto nikukodishie umtume huko

Uzuri wa huyu njiwa wangu, anajua kusoma hivyo akifika eneo la tukio ni anasoma ujumbe chapu na haraka kabla hajapigwa manati [emoji12]

babuu yani unataka kumchuna mpka mjukuu wako kweliii[emoji23][emoji23] we nipe huyo njiwa nikifanikiwa nakuletea blanketi na mkoti wa babu[emoji847]
 
Back
Top Bottom