Sawa mkuu. Hata Roma Mkatoliki aliomba kususiwa ππππΏββοΈππΏββοΈLeo fanyeni kama mmenisusia lindo
Kam kauwaaaaaa πππ€πͺπͺ!Santo sana in dada yangu Mahondaw voice sisi ndio Yanga SC ππππππππππ€π€
Lindo muhimu comrade... karibu sana lindoniSawa mkuu. Hata Roma Mkatoliki aliomba kususiwa ππππΏββοΈππΏββοΈ
Leo nimetoboa lindoni. Wapi makofi jamani? πππ
View attachment 2969574
Eti wanalugwadu,,π€£π€£π€£Si kijiji Cha pwani huko wanajiita toangomakumbe wanyangende pia wapooooπππ basi familia ni kubwa sana hii
π€£πππHuyu angekua kule kwetu ungesikia "...tundika hapo..."
Uwe unakunywa gahawa kidogoNimekuwa mvivu kweli
ππ nimecheka sana mkuuEti wanalugwadu,,π€£π€£π€£Si kijiji Cha pwani huko wanajiita toangoma
Umetishaππ nimecheka sana mkuu
πππ Madoso yote nilikua nayahimili ila lakutundikaπ€π€ yesu wangu bado linanijia ndotoni kama nightmare napiga kelele πππHuyu angekua kule kwetu ungesikia "...tundika hapo..."
Kuna afande mmoja alikua anasema hilo halina mjanja hata komandoo atatoa ukunga πππHaha hili doso dakika tano nyingi umeshasema yote
πππππππ Mazuri sana na yanachekesha ukiona anafanyiwa mwenzako ukiona miguu na mikono inavyotetemeka sasa πππ halafu unaambiwa kula maishaπππHaha hilo halina cha komando, Brigedia au nani wote scale ni ile ile. Kuna kipindi warundi walivuka kwao kule wakaingia kambini bila wao kufahamu wako kambini.. zikarushwa risasi kadhaa bahati nzuri wakaishiwa. Tukawaleta Main campus Haha sidhani kama watalisahau hili zoezi
Sawaπ₯΄Uwe unakunywa gahawa kidogo
Hahahaa utaua mtu atakosa usingizi x3 daysUwe unakunywa gahawa kidogo