JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Pamoja Sana Brother 🙌🙌🙌

Tena Kwenye Tribulation Mule Dizasta Vina Ameibaka Beat Hadi Vina.

Na Mule Kuna Maneno Na Vocabulary Nyingi Zinazohitaji Dictionary Ya Kuichambua Hip/Hop
Kaka naomba nielekeze huu mstali
02:26 TRIBULATION

""Fix your vocabulary you can read more,
A good poet is the Master of all big words,
Hata uishi juu ya kilele the entire system,
Ntabaki mwenye info elephantiasis.

Naomba ufafanuzi hapo kwa bold maana daah
 
Kichwa Kichafu
Kuna sehemu hapa kwa Tribulation
03:53.

Kama anaongea na ile radio call anasema
Who told you to come aboard? Over
Mission compromise abort?Over
Corporal you not alone and you don't grow, over
Go Master your bets couse you don't flow proper


Hapa skuelewa lengo ka kuweka hii sytle
 
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.

Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Mi nimeamka saa6 nip zangu machinjion nasomba damu ya ngombe kwa ajili ya kutengeneza chakula cha mifugo
 
Back
Top Bottom