Ndio, kuna sababu mpwa.Sio ratiba najikuta tu kama vile wewe leo.
Sa mbona changamoto, pombe sio mbaya ila pale inapokufanya kitu fulani kisiwe bila kuitumia ndio ubaya huanza .
Kama haikusumbu unaweza kuendelea ila kama ina kusumbua tafuta namna ya kuondoka hapo, ina wezekana kabisa kama ukiamua, mi nakupa pole mybe kuna sababu ilisababisha mpaka ikiwa hivyo
Jitahidi bwana, tunakupenda.Ndio, kuna sababu mpwa.
Najitahidi sikuhizi angalau kidogo naweza pumzika hata mara moja au 2 katika wiki.
Huenda labda na kampani niliyonayo inachangia piaπ€
Hio sababu isiwe tena sababu maana ilishatokea na imepita ila wewe upo, acha iende kama ilivyo kuja ikuache ilivyo kukuta.Ndio, kuna sababu
Asante sana.Jitahidi bwana, tunakupenda.
Tusingetamani kusikia unapita pagumu kwa sababu inayo zuilika.
Amiiin!Hio sababu isiwe tena sababu maana ilishatokea na imepita ila wewe upo, acha iende kama ilivyo kuja ikuache ilivyo kukuta.
Nimefurahi, naamini huu mwaka hautamalizika kabla haujaimarika zaidi na zaidi, ila jitahidi usiache gafla inaweza kukuumiza, lakini weka nia na jitihada, lakini ukimtanguliza Mungu.Asante sana.
Najitahidi na pia nilishahudhuria sana therapy centers, ndio maana naona kidogo nina imarika.
Asante sana.Nimefurahi, naamini huu mwaka hautamalizika kabla haujaimarika zaidi na zaidi, ila jitahidi usiache gafla inaweza kukuumiza, lakini weka nia na jitihada, lakini ukimtanguliza Mungu.
Nimefurahi kusiki hivyo, just sleep ndio kuna kucha hivyo madame.Asante sana.
Hilo liko ndani ya uwezo wangu.
Nina imani nitafika lengo langu
Sawa mkuu, ngoja nitafute angalau usingizi wa alfajiri.Nimefurahi kusiki hivyo, just sleep ndio kuna kucha hivyo madame.
Shukurani sana πSawa mkuu, ngoja nitafute angalau usingizi wa alfajiri.
Nikutakie alfajiri njema na kazi njema.
Mungu akutangulie katika kazi zako.
π€
Sawa mpwa.Shukurani sana π
Nitakuja kukujulia hali baadae
Na nyie mmemuamini huyo kenge majiMkuu emekuwa mwenyeji wa Dar Es Salaam Sasa baanda ya mwanao Half american kukuacha kwenye mataa pale magufuli bus terminal
Marufuku kumuamini kataa ndao.Na nyie mmemuamini huyo kenge maji
How's today?Sawa mpwa.
Karibu sana.
bro nusu albino nusu albino nusu albino nime kuita mara tatu π πNa nyie mmemuamini huyo kenge maji
Ndio, Jumatatu yangu imeenda vyema kabisa.How's today?
Naamini imekua salama.
Asante sana, shukrani sana kwa Mungu, nami inekua njema japo si kwa ukamilifu sana.Ndio, Jumatatu yangu imeenda vyema kabisa.
Na nikarudi salama kibaruani
Na mpaka sasa naendelea vyema mkuu!!!
Sijui upande wako?