JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Sio ratiba najikuta tu kama vile wewe leo.

Sa mbona changamoto, pombe sio mbaya ila pale inapokufanya kitu fulani kisiwe bila kuitumia ndio ubaya huanza .

Kama haikusumbu unaweza kuendelea ila kama ina kusumbua tafuta namna ya kuondoka hapo, ina wezekana kabisa kama ukiamua, mi nakupa pole mybe kuna sababu ilisababisha mpaka ikiwa hivyo
Ndio, kuna sababu mpwa.
Najitahidi sikuhizi angalau kidogo naweza pumzika hata mara moja au 2 katika wiki.

Huenda labda na kampani niliyonayo inachangia pia🤔
 
Asante sana.
Najitahidi na pia nilishahudhuria sana therapy centers, ndio maana naona kidogo nina imarika.
Nimefurahi, naamini huu mwaka hautamalizika kabla haujaimarika zaidi na zaidi, ila jitahidi usiache gafla inaweza kukuumiza, lakini weka nia na jitihada, lakini ukimtanguliza Mungu.
 
Ndio, Jumatatu yangu imeenda vyema kabisa.
Na nikarudi salama kibaruani
Na mpaka sasa naendelea vyema mkuu!!!
Sijui upande wako?
Asante sana, shukrani sana kwa Mungu, nami inekua njema japo si kwa ukamilifu sana.
I'm happy for you.
 
Back
Top Bottom