Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete habariMuda jamn huu nipo live leo mkuje
Kwema habar za wapNzuri kwem
Kwann hujalala mpaka saa hizNzuri kwem
Sorry to say, naona anafanana na chura wa ukweli maana kajifua, viji miguu, jitataak***, alafu rangi za nguo na nyumba! Chini sijui kuna vimk**o. Afu sura yake, yeuwii mbavu zangu!
Tulikuwa tunasubiri ufagie jukwaa kwanzaMmesusa kuja wapendwa
Hahahaha, wengine ni wafanya biashara!Hivi usingizi ukirudi mida ya saa 11Asbh...Wenzangu huwa mnafanyaje! Ukizingatia ndio miida ya kwenda Kazini...
Duh!Mimi ndo kwanza nimer recharge bando ya 4GB mda huu ndio naingia mitandaoni kufukuzana na Hao wenye kujiita mahackers