JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Kama kuku anavyofunika vifaranga wake,naomba Mungu awafunike nanyi muwe salama,mbarikiwe[emoji120]
 
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!


Naangalia NBA (ligi ya Kikapu ya Marekani), niligegeda jana na demu alishaenda kwao, hivyo baada ya kuhamka sina la kufanya nawaza tu mtoto wa mwenye nyumba awe target yangu nyingine.
 
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!

Waache kwenda kuroga waingie jf
 
[emoji524] MITHALI 3

24 Ulalapo hutaona hofu ;naam ,utalala na usingizi wako utakuwa mtamu.

25 Usiogope hofu ya ghafla,wala uharibifu wa waovu utakapofika

26 Kwakuwa BWANA atakuwa tumaini lako,naye atakulinda mguu wako usinaswe


[emoji523] USIKU MWEMA,BWANA YESU AWALINDE DAMU YAKE YA THAMANI IWAFUNIKE [emoji120]
 
[emoji524] MITHALI 3

24 Ulalapo hutaona hofu ;naam ,utalala na usingizi wako utakuwa mtamu.

25 Usiogope hofu ya ghafla,wala uharibifu wa waovu utakapofika

26 Kwakuwa BWANA atakuwa tumaini lako,naye atakulinda mguu wako usinaswe


[emoji523] USIKU MWEMA,BWANA YESU AWALINDE DAMU YAKE YA THAMANI IWAFUNIKE [emoji120]
AMUN RA
 
oooiii jamani aliekuwa macho ajitokeze bc ukiwa utaniuuwa mwenzeenuu
 
Back
Top Bottom