Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh sio ile utakuta mwana si wako?"Mvumilivu hula mbivu" komaa na fumbo la imani[emoji23]
Mida ya wangaIli chama la walinzi na walala nje.. aka wanaoingia shift za usiku au wapiga msuli kifo... mimi naingia apa nikimsubiri shemu wako anipe cha pili, navutia kasi
I agree... Huyu ana deserve sifa hizo tumemlea vizuri maelekezo ya wazazi amezingatia, na wakubwa zake tumemshape vizuri. Yaani huyo ukimpata hutajuta ni presentable an accepted popote atakapokuwa.wewe ni a well spoken lady, so classy, yaan kuna time huwa una nidanganya nakupa pass kwa jinsi tu ilivo yapanga maneno
hahaha what a lovely girl!!
i want to see hao watu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mazingira, marafiki na watu ninaobadilishana nao mawazo ndio wananifanya niwe hivi [emoji85]
Nimekusikia NeyJamani usiseme hivyo Manga
tupoooTeam mapopo mupoo?
Salama mkubwa?Mapopo wa nyt shift nawasalimia
Post sent using JamiiForums mobile app
sasa nikiwa sawa ntakuchek shemejHaya unaleta lini sasa, ili tukumilikishe ukachenjue kihalali?
Kaka umsisitize maana namuona anadalili za kunilaghai kwasababu kuna sehemu nilimfuma anawaambia watu yeye hataki kuoa ataendelea kunywa juice ya malimao eti bado yupo yupo kwanza, alafu mie ananiambia atanioa sijui sio kwamba ndio mkopo usiokuwa na riba huu. Ila usimwambie kituHaya unaleta lini sasa, ili tukumilikishe ukachenjue kihalali?
ukipewa namba funga hat trik sasaYani acha tu niisubiri hii siku [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Tupo karibuu!Team mapopo mupoo?
hahahaI agree... Huyu ana deserve sifa hizo tumemlea vizuri maelekezo ya wazazi amezingatia, na wakubwa zake tumemshape vizuri. Yaani huyo ukimpata hutajuta ni presentable an accepted popote atakapokuwa.
Kwi kwi kwi!!Teh teh teh sio ile utakuta mwana si wako?
Usiku mwema mkubwakukesha kwema... Wacha wa kulala tulale
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Nakoseaje sasa kwa mfano?ukipewa namba funga hat trik sasa
Jirani please ukitaka kulala usisite kuniambia kuna ujumbe wako nataka kukupa jirani yanguSalama mkubwa?
hahahahaAu utaendelea kunywa juice ya malimao