JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Hakuna kazi ngumu kama Kulala ukiwa na hela nyingi ndani ya nyumba, yaani ukisikia sauti kidogo nje unaamka kukagua hela zako kuona kama zipo 🙌

Na hapo ni shilingi laki 1, sijui wale wanaokuwaga na milioni milioni kama hata Usingizi huwa wanapata(ga) 😜

11:27 PM
 
Back
Top Bottom