Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Poleni sana, tibuni kwa moyo mmoja, huenda katika hao wagongwa akawepo mke wangu mtarajiwamwake babake tupo shift za usiku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni sana, tibuni kwa moyo mmoja, huenda katika hao wagongwa akawepo mke wangu mtarajiwamwake babake tupo shift za usiku
Hamna hela😀😀Poleni sana, tibuni kwa moyo mmoja, huenda katika hao wagongwa akawepo mke wangu mtarajiwa
Tomorrow is mystery unaweza toka mzima na ikarudi storiLeo nimeshuhudia moja ya road accident hapo njia ya tandika to buza mama na mwanae wamepata ajar ya boda boda na kupoteza Maisha papi papo
Hii dunia hii acha TU yaan ajar za bodaboda ni janga linamaliza watanzania wenzetu.
Daaah! Siku ngumu sana ya leo, taarifa za misiba zimekuwa nyingi mno aisee! sijui kwanini ila tu nusuriwe kwa kweliLeo nimeshuhudia moja ya road accident hapo njia ya tandika to buza mama na mwanae wamepata ajar ya boda boda na kupoteza Maisha papi papo
Hii dunia hii acha TU yaan ajar za bodaboda ni janga linamaliza watanzania wenzetu.
Ila poleni sana, sio siri mimi usiku siwezi kufanya kaziHamna hela😀😀
Nipo ndugu yangu, hapa kati nimekuwa busy sana. Usiku nalala usingizi wa pono 😅😅😅😅Bantu Lady hivi huu uzi uliukimbia kabisa, nimekukumbuka mno kwenye uzi huu.
Daah!Nipo ndugu yangu, hapa kati nimekuwa busy sana. Usiku nalala usingizi wa pono 😅😅😅😅
Ooh ahsante sana na pole, huu ubusy ukiisha tu, nitarudi kwenye uzi wetu huu. Tuko pamoja.Daah!
Pole lakini , muhimu mno kulala ukijaliwa usingizi.
Tokea kipindi kile nina kumiss sana kwa uzi huu, sometime nilikua nakesha bila sababu nikuone tu.
Asante sana.Ooh ahsante sana na pole, huu ubusy ukiisha tu, nitarudi kwenye uzi wetu huu. Tuko pamoja.
Sijui kwa nini ila nimejisikia kushare wimbo huu nawe, nisamehe kama sio vizuri kwako🙏Ooh ahsante sana na pole, huu ubusy ukiisha tu, nitarudi kwenye uzi wetu huu. Tuko pamoja.
Bila samahani, nimeupenda sana. Kila unapobarikiwa niwekee tu. Wimbo mzuri sana. Ahsante sana sana, nitakuwa na usiku mzuri sana leo.Sijui kwa nini ila nimejisikia kushare wimbo huu nawe, nisamehe kama sio vizuri kwako🙏View attachment 3090809
Nimeongeza saut ya bufa wife kaamka anasema nimeweka saut juu wimbo mzur sanaaSijui kwa nini ila nimejisikia kushare wimbo huu nawe, nisamehe kama sio vizuri kwako🙏View attachment 3090809
Hatari SANAA yaan usingizi umekata sijui ntaupataTomorrow is mystery unaweza toka mzima na ikarudi stori
Yes wimbo mzuri sana na hauchoshi kuusikiliza. Mkuu ulishapona?Nimeongeza saut ya bufa wife kaamka anasema nimeweka saut juu wimbo mzur sanaa
Wahooo!😍Nimeongeza saut ya bufa wife kaamka anasema nimeweka saut juu wimbo mzur sanaa
Wapumzike kwa amaniLeo nimeshuhudia moja ya road accident hapo njia ya tandika to buza mama na mwanae wamepata ajar ya boda boda na kupoteza Maisha papi papo
Hii dunia hii acha TU yaan ajar za bodaboda ni janga linamaliza watanzania wenzetu.