Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Nimepona nimerud kwenye majukumu yangu still na chechemea sometimes.Yes wimbo mzuri sana na hauchoshi kuusikiliza. Mkuu ulishapona?
Mungu Ni mwema naendelea vyema kabisaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepona nimerud kwenye majukumu yangu still na chechemea sometimes.Yes wimbo mzuri sana na hauchoshi kuusikiliza. Mkuu ulishapona?
Amima, Mungu ni mwema wakati wote. Pole sana na hongeraNimepona nimerud kwenye majukumu yangu still na chechemea sometimes.
Mungu Ni mwema naendelea vyema kabisaa
Inaumiza Sanaa yaan ilikua mida ya saa sita na nusu mchana na wamefariki papo papo kwa kushuhudia wanafunikwa kanga na wasamalia wema.Wapumzike kwa amani
Asante SanaaAmima, Mungu ni mwema wakati wote. Pole sana na hongera
Nimeipenda hii tajir,,,kumbe huu uzi nao una maudambwi udambwiBila samahani, nimeupenda sana. Kila unapobarikiwa niwekee tu. Wimbo mzuri sana. Ahsante sana sana, nitakuwa na usiku mzuri sana leo.
Tajiri tumepotezana, huu uzi ndiyo uzi pekee unaweza ongea chochote na zaidi ni usiku wa manane. Pia una amani na upendo huu uzi. Udambwi dambwi kama wote tajiri...Nimeipenda hii tajir,,,kumbe huu uzi nao una maudambwi udambwi
Tumepotezana tajir yangu kpnz,,kikubwa uzima,,haya mimi mgeni humu ngoja niyazoee mazingiraTajiri tumepotezana, huu uzi ndiyo uzi pekee unaweza ongea chochote na zaidi ni usiku wa manane. Pia una amani na upendo huu uzi. Udambwi dambwi kama wote tajiri...
Karibu sana mgeni, katika familia ya usiku wa manane. Huwa panachangamka sana, soon patarudi kama mwanzo.Tumepotezana tajir yangu kpnz,,kikubwa uzima,,haya mimi mgeni humu ngoja niyazoee mazingira
Asante kpnz,nafurahi kusikia hivyo,tupo pamoja tajir kubwaKaribu sana mgeni, katika familia ya usiku wa manane. Huwa panachangamka sana, soon patarudi kama mwanzo.
upo wapi mkuu?Kumekucha wadau
Niko home mzee, usingizi hakuna sina hata kiporo cha Pombe hapaupo wapi mkuu?
aisee kumbe pombe ina kiporo?Niko home mzee, usingizi hakuna sina hata kiporo cha Pombe hapa
Ndio Mkuu kuna Pombe kali Gin Au vodkaaisee kumbe pombe ina kiporo?
kunywa hata maji