Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 1,012
- 2,317
Shadow7 yupo serious kumfuatlia mshkaji hatakama anaongopa inaonekana. Watu wapo interested na story zakeNina mwanangu ni Dokta nikamuuliza dawa ya usingizi ambayo nikinywa chap nalala . Akanitajia nikaenda pharmacy flani ya kitaani 24/h wapo open nikanunua zinauzwa kama 10 hivi kwa 2500 hivi