DigitalEconomy
Member
- Mar 7, 2025
- 27
- 23
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wanaofanya hivi na bado wakikutwa wanashangaa wenyewe!!Mhh! Hii inaweza vipi kufanya kazi?
Labda kwa vile ni nje ya experience yangu
Nafanya fear, sema tatizo ni long distance relationship 🤒Kama vile hafanyi fair, au wewe ndio haufanyi fair.
Na bando kuenda sana.
Ohhh, hapo no excuses, hata kama ni wewe ungelala tu.Nafanya fear, sema tatizo ni long distance relationship 🤒
Mhh! Yaani mi niwe na mtu halafu niwe bize na vingine, labda kwa vile kuna kuchokanaWapo wanaofanya hivi na bado wakikutwa wanashangaa wenyewe!!
Hii inawezekan kabisa, na inafanya kazi vizuri tu.
Yes, kabisa uko sahihi heri tisa niyajuayo!Ohhh, hapo no excuses, hata kama ni wewe ungelala tu.
Pole lakini! Ni kipengele kigumu sana katika maisha, ni nusu na kutokuwa nae! Ila heri tisa yako kuliko kumi usiyo kuwa nayo.
Una vurugu, sredi ya Mtwara ushaachana nayo.. Ngoja nishuke Mtwara Jumatatu next weekYes, kabisa uko sahihi heri tisa niyajuayo!
Nimeshazoea mbona na niko happy kabisa, si unajua kila sehemu kuna wasaidizi 😃?
Mshafanya kila kitu na kila mtu kageukia hukoooooo.Mhh! Yaani mi niwe na mtu halafu niwe bize na vingine, labda kwa vile kuna kuchokana
Dah! Mtwara jamani.Una vurugu, sredi ya Mtwara ushaachana nayo.. Ngoja nishuke Mtwara Jumatatu next week
Fika salama boss2:38 AM drive
Halafu kama kuna some stori hivi! Embu fungua mlango kidogo nikuulizeYes, kabisa uko sahihi heri tisa niyajuayo!
Nimeshazoea mbona na niko happy kabisa, si unajua kila sehemu kuna wasaidizi 😃?
Baskeli za BMX sio?Dah! Mtwara jamani.
Kipindi hiko tulikuwa masister du haswa.
Kichwani zipo, wazazi wanazo, huku tunaenda na baiskeli za gia shule 😀😀😀
Mwisho kabisa tunakaa nyumba za kota....🤗🤗🤗
Utatuambia nini
Iliwahi kuni kuta hii, ila sikua na lakufanya , usiku ulikua mkubwa mnoMshafanya kila kitu na kila mtu kageukia hukoooooo.
Mwenzio kaangusha gari wewe bado mbichi na ukimshika mkali
Nilifunga jua lilipokuwa kali mchana, ila tangu niufungue jioni hii sikuufunga tena, uko wazi.Halafu kama kuna some stori hivi! Embu fungua mlango kidogo nikuulize
Ewaaaaaa!!!Baskeli za BMX sio?
Madam unakesha ukiwa wapi?Dah! Mtwara jamani.
Kipindi hiko tulikuwa masister du haswa.
Kichwani zipo, wazazi wanazo, huku tunaenda na baiskeli za gia shule 😀😀😀
Mwisho kabisa tunakaa nyumba za kota....🤗🤗🤗
Utatuambia nini