JamiiForums ya Maxence Melo imenipatia mume. Clepatina naolewa

JamiiForums ya Maxence Melo imenipatia mume. Clepatina naolewa

Asante mi chenga ila nilidhan tunaheshimiana kumbe huniheshimu.
Sawa bora mim chenga kuliko wewe unagandana na gays na mademu kila saa halafu hujishtukii.
Usiniombee mabaya sijakukosea kitu bro[emoji120]

Bi harusi usikasirike sura itatusumbua upande wa make up [emoji23][emoji23] achana naye huyo kashaelewa sema mbishi
 
Bro tulia kuachwa kawaida [emoji23][emoji23] mama tamuu si yupo lakini?! [mention]cocastic [/mention] uduguu bwana shemeji mbona anataka kumpea stress bi harusi wetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo baba tamuuu amevurugwaa, na mie kuna jamaa namsikiliziaa nambwaga huko, mbna atakua chizii mwaka huu.
 
Asante mi chenga ila nilidhan tunaheshimiana kumbe huniheshimu.
Sawa bora mim chenga kuliko wewe unagandana na gays na mademu kila saa halafu hujishtukii.
Usiniombee mabaya sijakukosea kitu bro[emoji120]
Kumekuchaaaaaaaaaaa!!!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaa...Mama tamuuu amenikataa pia[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani mimi sina bahati kabisa, Nimekua na mkosi sana kila ninapotest zali mambo yana buma dah![emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeeh wee.
 
Back
Top Bottom