JamiiForums ya Maxence Melo imenipatia mume. Clepatina naolewa

Sitamcheat hata akipoteza dushe yake.

2) Sitamdharau hata akikosa uwezo wa kunipa jero.

3) Kamwe sitajiona nina akili kumshinda.

4) Kamwe sitapaza sauti yangu ninapoongea nae.

5) Kamwe sitonyanyasa watoto wake ambao mama yao amefariki, kwani tayari nawapenda na wao wananipenda kama nimewazaa mimi........

( ushauri wangu kayafanyie kazi haya maneno na MUNGU akakufanyie njia )

haya maneno yakawe
nguzo zaidi sana mwombe MUNGU akuwezeshe ikawe maisha ya kheri kila baya likapate mlango wa kutokea .... kama una muda sema AMINA 🙏
 
Ninavyopenda kula Ubwabwa wa sherehe nahisi Novemba pamekuwa mbali 😋😁

Hakikisha kwa namna yeyote X wako anapata Kadi ya Mwaliko ili ajifunze aliposema Wanini kuna Watu walijiuliza Watakupata Lini 🏃🏃🏃
 
Hongeraaa sanaa uduguuu kwa kupata ubavu wako.
MC nipo hapaaaa bureee kabisaa kuchachua na kunogeshaa harusiii. [emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani ujanja wote kama sungura ila kupika ni zero...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe bado huja qualifie kuitwa wife material... Nahisi kuna mengi huyajui pia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuachwa, kuachwa aaaaaa

Kuachwa ni shughuli pevuuu

Mbaya zaidi, yule uliyempenda

Wewe unakonda, mwenzako ananenepa

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] bro vipi [emoji870] nakusalimia
 
Habari Clepatina...

Natumai ni mzima sana na mwenye utimamu sana, Naomba niseme hongera sana kwa uamuzi uliochukua...Sidhani kama ulishawahi kuwa ndani ya ndoa hapo awali, Lkn kwa maelezo yako ulikua na mahusiano na somebody mgweno....Sijui ulimpenda na mkapendana ila ikafika sehemu akaondoa upendo kwako! Naomba nikuulize ulishajiuliza ni kwa nini alifanya maamuzi hayo ya kupoteza upendo wake kwako!?

Sasa unaelekea kuingia kwenye ndoa au niseme unaenda kuijenga familia mpya na mwenza wako...Nikusii tu ili kuinusuru hii ndoa yako na iweze kudumu usirudie makosa uliyofanya hapo awali na ukawe mama bora mwenye maadili mazuri kwa watoto wako, Jifunze kuheshimu hisia za huyo mlokole.

Sina mengi nikutakie amani ya moyo na baraka kwenye hatua yako pia...

Hongera na Ahsante sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…