TUSHIRIKISHANE JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane"

TUSHIRIKISHANE JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane"

Tabora lini
Tupo Nzega tayari mkuu. Tutamaliza baada ya siku 3 zijazo.

Tunafanya upembuzi kwanza kubaini kama wananchi wanatambua majukumu ya Mbunge na kama wanakumbuka ahadi zake. Aidha, tunafuatilia kama wanafahamu wajibu wa Halmashauri kwao na wajibu wa madiwani kwao.

Tuna mengi tumeona na tumewahamasisha wananchi katika kuyapata maendeleo katika maeneo yao. Bahati wananchi wanatuelewa na viongozi wao wanauona mwitikio wa wananchi katika maeneo tunakopita.

Mradi huu upo katika hali ya majaribio (pilot project) na lengo la awali lilikuwa ni kuufanya katika majimbo matatu kwanza lakini mwitikio wa waheshimiwa wabunge ulipelekea nasi kujisogeza na kujikuta idadi inaongezeka zaidi.

Nafasi za ajira ya Afisa Mawasiliano ambaye atakuwa anatuwakilisha katika kila jimbo zilitangazwa hapa JamiiForums katika jukwaa la Nafasi za Kazi.

Kukiwa na ufanisi katika hatua hii ya awali, tutajisogeza zaidi (scale-up) na kufanya katika majimbo zaidi na tutajitahidi tukatafuta wahisani ili mradi uweze kuwafikia wengi na kuongeza tija zaidi.

Mbunge, Halmashauri na wananchi watakaofanya vema watatuzwa mwishoni mwa mradi (top 3).
 
Tupo Nzega tayari mkuu. Tutamaliza baada ya siku 3 zijazo.

Tunafanya upembuzi kwanza kubaini kama wananchi wanatambua majukumu ya Mbunge na kama wanakumbuka ahadi zake. Aidha, tunafuatilia kama wanafahamu wajibu wa Halmashauri kwao na wajibu wa madiwani kwao.

Tuna mengi tumeona na tumewahamasisha wananchi katika kuyapata maendeleo katika maeneo yao. Bahati wananchi wanatuelewa na viongozi wao wanauona mwitikio wa wananchi katika maeneo tunamopita
Asante sana na hongera sana kwa effort hii!
 
Great thinkers! The new Gov should have thought of this instead of bulldozing everyone without debates. People are not animals.
 
Safari yoyote ina mwanzo.

Safari imeanza na pongezi kwa kuthubutu.

Changamoto ni sehemu ya mafanikio.

Historia inaonyesha, uthubutu wenu huleta mafanikio makubwa kama yanavyoendelea kutokea katika Mtandao wa Jamiiforums.

Hongera sana Maxence Melo, Dada yangu AshaDii na timu nzima ya Jamiiforums/Jamii Media.
 
Tupo Nzega tayari mkuu. Tutamaliza baada ya siku 3 zijazo.

Tunafanya upembuzi kwanza kubaini kama wananchi wanatambua majukumu ya Mbunge na kama wanakumbuka ahadi zake. Aidha, tunafuatilia kama wanafahamu wajibu wa Halmashauri kwao na wajibu wa madiwani kwao.

Tuna mengi tumeona na tumewahamasisha wananchi katika kuyapata maendeleo katika maeneo yao. Bahati wananchi wanatuelewa na viongozi wao wanauona mwitikio wa wananchi katika maeneo tunamopita
Kama hamtafungua "ukumbi wa mkutano" kwa kila mbunge kukutana na kujadiliana na wapiga kura wake humu ndani ya JF ubunifu wenu hautakuwa na maana yoyote.

Mwisho wa siku fanyeni hivi:-
Hizo ac za wabunge ziwe ndani ya kitufe cha siasa, zikumbatiwe na kitufe "kutana na mbunge wako"
Ndani ya ukumbi wa mkutano na mbunge wangu properties zi contain yafuatayo:-

Reply zote za mbunge zijiupdate auto kwenye fist page kwa mtiririko kufuata muda wa post, quotes n.k

Kutakuwa na wapigakura waliojitambulisha ambao watakuwa na haki ya kujadiliana na mbunge,

Wageni wanye utambulisho pia watakuwa na privelage ya kujadiliana na mbunge.

Tutapata nafasi ya kukumbushana mambo mengi ya kimaendeleo, tutapokea taarifa sahihi kutoka kwa mbunge juu ya ushiriki wake katika kuisimamia serikali kama yalivyo malengo ya ubunge.

TUEPUKE KWA KADRI ITAKAVYOWEZEKANA KUJIHUSISHA MOJA KWA MOJA KAMA JAMIIFORUMS KUFANYA MAMBO YA SIASA.
Tuwaache wanajamvi waitumie jamiiforums kufanya siasa.
 
Njoooni na huku kwenye visiwa vya wavuvi ziwa victoria kwani tuna changamoto nyingi.
 
Kama hamtafungua "ukumbi wa mkutano" kwa kila mbunge kukutana na kujadiliana na wapiga kura wake humu ndani ya JF ubunifu wenu hautakuwa na maana yoyote.

Mwisho wa siku fanyeni hivi:-
Hizo ac za wabunge ziwe ndani ya kitufe cha siasa, zikumbatiwe na kitufe "kutana na mbunge wako"
Ndani ya ukumbi wa mkutano na mbunge wangu properties zi contain yafuatayo:-

Reply zote za mbunge zijiupdate auto kwenye fist page kwa mtiririko kufuata muda wa post, quotes n.k

Kutakuwa na wapigakura waliojitambulisha ambao watakuwa na haki ya kujadiliana na mbunge,

Wageni wanye utambulisho pia watakuwa na privelage ya kujadiliana na mbunge.

Tutapata nafasi ya kukumbushana mambo mengi ya kimaendeleo, tutapokea taarifa sahihi kutoka kwa mbunge juu ya ushiriki wake katika kuisimamia serikali kama yalivyo malengo ya ubunge.

TUEPUKE KWA KADRI ITAKAVYOWEZEKANA KUJIHUSISHA MOJA KWA MOJA KAMA JAMIIFORUMS KUFANYA MAMBO YA SIASA.
Tuwaache wanajamvi waitumie jamiiforums kufanya siasa.
Mkuu kama nakaribia kukuelewa: "Tuepuke kwa kadri itakavyowezekana Kujihusisha moja kwa moja kama JamiiForums kufanya mambo ya Siasa... Tuwaache wanajamvi WATUMIE JAMIIFORUMS kufanya siasa". Jamiiforums kama Taasisi iwe ni forum ya sisi kupiga siasa yenyewe isijiegemeze kwenye siasa. Neutrality ni muhimu sana kwa JF
 
Back
Top Bottom