Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna soko la katerero? Huenda alikuwa hukoMbona diwani wa kijiji cha katerero simuoni?
Scientifically speaking, people are animals... There some point we need not, debates but actions!Great thinkers! The new Gov should have thought of this instead of bulldozing everyone without debates. People are not animals.
Alifafanua kuwa mradi huu utachukua miezi 9 na hivyo Wabunge wanaohusika kwenye mradi huu wanatakiwa kukubaliana na wananchi juu ya ahadi zisizozidi 4 za kuweza kuwa sehemu ya mradi huu zinazoweza kutekelezeka kwa kiwango kikubwa wakati wa mradi huo.
ni maajabu ccm kupongeza mambo ya maendeleo, inaweza kuwa pongezi ya kinafiki, wenzetu nyie mnawaza matumbo yenu na kugangania madaraka hata kama hamuwezi kudeliverSafi sana. Msisahau kuja na kwetu Songea