JAMVI LA WANAWAKE: Baada ya kumuoa anataka wawe wanafanya mapenzi kinyume na maumbile, afanyaje?

JAMVI LA WANAWAKE: Baada ya kumuoa anataka wawe wanafanya mapenzi kinyume na maumbile, afanyaje?

Haya mambo yana kua kwa kasi sana nje na ndani ya ndoa. Wengi wanafanya na ni siri kubwa sana kwao hasa kwa wanandoa.
Naona kwenye hii mada wote wanao comment wanajifanya hawapendi kabisa huo mchezo 😂😂 ila huko sirini kwenu mnajua mnchokifanya.
Cha msingi amkazie tu jamaa, asihofu ndoa haitavunjika kabisa. Yeye aweke tu akilini kwamba sisi wanaume tupewe Yas au tusipewe, tupendwe namna gani au tusipendwe, nje tutaenda tuuu no mara waaa.
 
Haya mambo yana kua kwa kasi sana nje na ndani ya ndoa. Wengi wanafanya na ni siri kubwa sana kwao hasa kwa wanandoa.
Naona kwenye hii mada wote wanao comment wanajifanya hawapendi kabisa huo mchezo 😂😂 ila huko sirini kwenu mnajua mnchokifanya.
Cha msingi amkazie tu jamaa, asihofu ndoa haitavunjika kabisa. Yeye aweke tu akilini kwamba sisi wanaume tupewe Yas au tusipewe, tupendwe namna gani au tusipendwe, nje tutaenda tuuu no mara waaa.
Nifafanulie kidogo, yani kutoka nje ya ndoa ni sehemu ya uanaume wenu au ni tabia tu ya baadhi yenu?
 
Haha Theresa49 bhana unanifurahisha(ga) na mada zako 😀
Hilo jamvi la wanawake unalipenda sana, halijachanika tu nikuagizie la wanaume
but of course iko wazi kama ya mbuzi
KULA NDOGO NI UFIRAUNI NA USHETANI
-Ni hatari kwa afya yako
-Unahatarisha unyeo na ujambaji
-Msusie mbususu aichakate atakavyo kinyeo sikushauri mshangazi wa maana kabisa wewe
Kumbe ni yeye mwenyewe
 
Unatakiwa kabla ya kuoa au kuolewa na mtu,inatakiwa umjue tabia zake nje ndani nini anapenda nini hapendi. Si hii ya kuuziana mbuzi kwenye gunia. Pole yake huyo binti(japo ni wewe kwa 100%) na bado anayonafasi ya kumwambia ukweli kuwa hafurahishwi na hiyo tabia chafu kabla ya mambo hayajaharibika,au achukue maamuzi magumu (avunje ndoa au akaripoti jambo hili ktk dawati la jinsia)
 
Nimeshirikishwa mkasa wa binti mdogo wa miaka 23 ambaye ameingia kwenye ndoa wiki kadhaa zilizopita. Baada ya ndoa, mumewe ameanza kumuomba wafanye mapenzi kinyume na maumbile, jambo ambalo hakuwahi kufanya hapo kabla. Ilipotokea siku ya kwanza hakusema moja kwa moja, ila katikati ya kushiriki tendo alijifanya kama kakosea na kutaka kumuingilia kinyume, alivyoona binti hatoi ushirikiano hakuendelea ila siku inayofuata akamwambia live kwamba atafurahi zaidi akiwa anampa unyumba pia ampe Yas.

Binti yuko njia panda, ndoa bado changa sana, hataki kupeleka hili tatizo kwa wazazi maana ni aibu ila pia anahofia asipomkubalia mumewe ataenda kutafuta anachokikosa kwa mtu mwingine.

Tusaidiane kumshauri (kwa hekima na siyo kumkebehi, kumchamba au kuandika maneno yasiyofaa ya kumdhihaki) nitamtumia replies zenu!

View attachment 3237530
Hapo tatizo si la Mwanamke huyo jamaa yake ndio anatakiwa aelezwe 1. Akifanya hivyo siku akimuhuzi huyo Binti akimshtaki mahakamani miaka 30 bila chenga 2. Si vyema kumfanyia hivyo mke wake mama watoto wake 3. Atapata MAGONJWA sasa hapo ukimshauri Mwanamke haisaidii coz yey kapenda Mwanamke asiyetaka hivyo Huwa anatamka kwa herufi kubwa NO
 
Back
Top Bottom