Jana ilikuwa bado kidogo tu nirudie kunywa Pombe

Kuna wale Wacongoman pale Villa Park wanagonga copy ya miziki ya kwao hivi bado wapo?

Dah naimiss Mwanza.

Sent using my Nokia Torch
Wapo wanabadilika badilika tu,,

Mwanza naipendea hii misato aiseeeh hii ya kuchoma daaah, kuna siku kwa uroho nikaagiza mzima na ka ugali kadogo na kachumbari,, aiseeeh,,

Acha Sato aitwe Sato

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye pombe unapata marafiki wengi sana..
Hivi ni kinywaji gani ambacho kinafanana na pombe kwa muonekano ambacho unaweza ukaenda bar ukanywa kiroho safi bila watu kukuona mgonjwa..
Sipendi kwenda bar alafu unaagiza soda mara juice
 
Ha ha ha...huyo demu wako kazidi

Huyo kashaingia kwenye ishu za wanaume atadata!

Bata tamu mdada jigharamie sio lile la wanaume waiiii[emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…