CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
- Thread starter
-
- #181
Malengo yapo ila how kama mtu hana capital? Hana mtaji wa komputa na vitu vingine?tunasomea vitu tusivyo na malengo navyoo POOR TANZANIA.......
Swali la kwanza jijibu mwenyewe.Kwa nini asitekeleze? Shida zenu mnataja mtu aanze biashara January then December ikiwezakana anunue ndege.
Au basi awe na Benzi.
Ndo malengo yake anaishi anavyo taka na ana plan zake na atatekeleza kwa sababu ana comitment
Sent using Jamii Forums mobile app
Me nmeanzisha kigenge cha kukaanga mihogo tu ili mradi nipate hela ya kulaIT ameshindwa kujiongeza hata akaanza kutengeneza simu?
Mimi mjanja anzisha post yako kama utapata mchangiaji. nina post nyingi sana humuWewe umeleta siasa tu humu huna lolotee !
Mkuu watu wanatumia ID feki ingekuwa ni live ID Usingeona mtu ana coment kwa kubisha.Hivi kwa nini watu wanabeza kuchoma mahindi??au kwa jili MTU upo barabarani anapuliza moto.Tupige mahesabu jamani.Hapa ni pesa kama anapata na ziada na wewe wa ifisini unapata the same shida IPO wapi.After all wote hatuwezi kuwa Ofisini.Na mahindi wengi tunapenda kuyatafuna hence kipato kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu watu wana mentality za ajabu mno tena mno.Chasha Poultry Farm achana na watu wenye poor mindset, wao wanaamini kazi hadi ukae kwenye kiyoyozi...
mdogo wangu anaprint tshirt ndie mwenye tshirt garage mabibo hostel maarufu sana huko instagram
anapiga hela hadi kaka zake tulioajiriwa tunamuonea wivu.. kila siku anaingiza hela tena kipindi hiki hiki cha magu ila yeye anapiga hela tu...
sisi tumebaki na viajira vya kinyonyaji...
najua hata mchoma mahindi akiwa na mbinu anapiga sana hela
Mkuu anakusanya mtaji. Graduate wamejaa mtaani sana wengine ndo wako humu kupondea.Safi sana. Sema inaumiza unapokuta wasomi kama hawa wanachwa wakihangaika hivi halafu unakuta mjinga mmoja mwenye zero yake safiii amekalia ofisi kubwa anatamba na kuwapangia wasomi cha kufanya na hata akipenda anaweza kuamuru msomi nwenye digrii zake alizosotea kwa shida awekwe ndani kwa saa 48 This is not fair!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vijana wengi wako nyumbani wanalelewa na Mashemeji. wengine wako kwa wajomba zao.Wengi Jf yawezekana ni vijana graduates au bado wako colleges. Nakumbuka nikiwa college tulikuwa tunapanga mshahara wa kazi baada ya kumalizia kuwa college kuwa bila take home from 1ml sitaki hiyo kazi. Kuja mtaani mpaka kazi ya 250k ikawa shughuli. Cha kwanza tujifunze kwa walioko mbele yetu. Cha pili tukumbuke hata kama unaajira ipo siku utastaafu. Ukistaafu lazima uje uishi mtaani kama huyu anaeuza mahindi. Kumbuka ajira miaka 30 unakuta mwezako anauzoefu as mtaani miaka 30. Kumbuka unarudi na kiunua mgongo halafu unafanya mtaji. Kununua unaweza anza biashara ikafelu. Kumbuka mwezako alikosea mara ngapi, ndani ya miaka 30 atakosea sana ila ipo atakuwa amelearn mistake. Kumbuka pressure nyingi ni wastaafu wa ajira.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes wengi Graduate na wengine wanapiga tempo na huko wanalalamika pesa ndogo ila wanajiona wao ni wajanja kuliko anaye choma mihogo.Kutengeneza simu kunalipa kuliko kuchoma mahindi? Inawezekana kuwa hataki lawama maana mtu anakuletea simu ya 500k halafu inashindikana kutengemaa au ndio anaiharibu mazima.
Vv
Yan me nakupa ma like tu..... yan hili ni BOONGE la uzi, mawazo km haya ya kitajiri huwa hayaendi kwa kila mtu na ndo mana hata USA 10% tu ndo inawapa maisha 90% ya wananchi wote[emoji41]Hahaha
Endelea kuamini kazi ni za kukaa ofisini na biashara ni ile ya kuuza Magari tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko si kukusanya mtaji! Ni kusukuma siku imradi maisha yaende!
Weka namba ya simu.Me nmeanzisha kigenge cha kukaanga mihogo tu ili mradi nipate hela ya kula
Sasa si angesomea agriculture?Inawezekana anaingiza hela kubwa kwenye mahindi kuliko kutengeneza simu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amiiin dua yako ifike moja moja.... one day kwenye daladala yangu, yaan am da boss wow!!!Sio maisha ni kazi na unaweza fika mbali kabisa na kumiliki mabasi yako mwenyewe one Day.
Kikubwa ni jitihada mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusoma IT sio kutengeneza simuIT ameshindwa kujiongeza hata akaanza kutengeneza simu?
Uko Dar au wapi? njoo nikupeleke kwa jamaa alie wekeza kwenye kulima mchicha na ana Phd njoo uone alipo sasa na pesa anayo piga kwenye kilimo cha mchicha na sasa na mboga zingine.Nyi hata mumtetee but bado ni poor minded.
Labda kama tu ataifanya hio kazi kwa short time.
But in general hizo ni kazi za darasa la saba. Na akilogwa asilaumu mtu.